Wana Jf naomben mnisaidie ni dawa gani ya kuua magugu na majani kwenye mpunga bila kuleta madhara kwenye zao? Na kuna majani aina ya NDAGO majani haya huwa yanakuwa na mafundo kwa chini kama vitunguu, yananisumbua sana nini dawa yake maana yameota pamoja na mpunga. Mnisaidie wataalamu.