Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Habari yako mkuu
Naomba kueleweka kwanza mimi sio mganga wala mganguzi ila katika pitapita zangu kwenye social media nimepata kuona dawa mjarabu kwa wenye vifungo vya mizimu na majini binafsi imenisaidia
MASHARTI
Hutakiwi kuwaamini mchafu kiroho yaani ni kwamba hauitajiki kuwa mchafu kwa namna yeyote na kujitenga mbali na vichafuzi vya mwili pamoja na roho(zinaa na pombe) ili kuepusha kuendelea kwa ushetani ndani yako na kuvutia nuru ndani yako.
Dawa na Matumizi
Chumvi ya madonge na kawaha/mdalasini ya unga asili isiyo ya kemikali au ilitengezwa viwandani
-unatia ndani ya maji vyote kwa kuweka manuizi ya kuomba kwa Mungu ukuondolee nguvu hasi ndani yako kwa kutumia chumvi na kahawa
Matumizi unatakiwa kuoga .
Utakuja kunishukuru.
Naomba kueleweka kwanza mimi sio mganga wala mganguzi ila katika pitapita zangu kwenye social media nimepata kuona dawa mjarabu kwa wenye vifungo vya mizimu na majini binafsi imenisaidia
MASHARTI
Hutakiwi kuwaamini mchafu kiroho yaani ni kwamba hauitajiki kuwa mchafu kwa namna yeyote na kujitenga mbali na vichafuzi vya mwili pamoja na roho(zinaa na pombe) ili kuepusha kuendelea kwa ushetani ndani yako na kuvutia nuru ndani yako.
Dawa na Matumizi
Chumvi ya madonge na kawaha/mdalasini ya unga asili isiyo ya kemikali au ilitengezwa viwandani
-unatia ndani ya maji vyote kwa kuweka manuizi ya kuomba kwa Mungu ukuondolee nguvu hasi ndani yako kwa kutumia chumvi na kahawa
Matumizi unatakiwa kuoga .
Utakuja kunishukuru.