Dawa ya kuzuia kutapika kwa mjamzito

Dawa ya kuzuia kutapika kwa mjamzito

Daha
Usiogope hiyo hali itaisha tu, epuka dawa dawa za hospitali zitamharibu mtoto aliye tumboni hata vile vidonge vya Nosic vinazuia kutapika lakini vina madhara sana bora asitumie hiyo itaisha yenyewe mwili ukizoea, ale tu juices za malimao, ukwaju nk na usiweke sukari.
Mke e
Wangu anatapika sana ila tangawizi bila sukari hataki kabisa kusikia hilo hata limao hataki anasema mabaya
 
Daha

Mke e
Wangu anatapika sana ila tangawizi bila sukari hataki kabisa kusikia hilo hata limao hataki anasema mabaya
Atumie vomidoxin. Mimi nilitumia wiki kutapika kukaacha mpaka najifungua. Mimba ya kwanza sikuijua vomidoxin nilitapika miezi 9 yote. Hata ORS ukinywa inarudi mpaka Dr alichanganyikiwa. Mungu tu alisaidia nikajifungua salama
 
Apate glucose pamoja na ORS ya kutosha,upungufu Wa sukari na madini mwilini huwa ndo chanzo cha tatizo,pia dawa ya "vomidoxin " ni nzuri tu,ina mchanganyiko Wa vitamin B6 pamoja na Meclizine.Dawa naomba ufanye kuwa chaguo la mwisho kabisa,cha msingi ni hizo Ors na Glucose.
Kwaio hata mkewangu hii hali anayo. Adi siav mimba ndo ina miezi na nusu hizo dawa naweza tumia. Eti
 
Back
Top Bottom