NyotaMalaika
Senior Member
- Aug 6, 2012
- 167
- 77
Habari za weekend wakuu
Poleni na hongereni kwa majukumu tafadhali naomba kujuzwa kama kuna dawa ya kuzuia maambukizi ya UKIMWI endapo tu utakuwa umefanya mapenzi na mtu ambaye hujapima nae au kwa mtu aliyebakwa.Tafadhali kama ipo mnijuze inapatikana wapi na inatumiaka ndani ya muda gani baada ya tendo.
Poleni kwa usumbufu nawasilisha.
NB:Not happened to me
Poleni na hongereni kwa majukumu tafadhali naomba kujuzwa kama kuna dawa ya kuzuia maambukizi ya UKIMWI endapo tu utakuwa umefanya mapenzi na mtu ambaye hujapima nae au kwa mtu aliyebakwa.Tafadhali kama ipo mnijuze inapatikana wapi na inatumiaka ndani ya muda gani baada ya tendo.
Poleni kwa usumbufu nawasilisha.
NB:Not happened to me