nico winto
Member
- Jul 2, 2017
- 34
- 27
Unazo wewe hizo dawa.Njoo kigoma tukupe dawa hata ukimtaka wema unampata
DodomaUpo wapi, nnazo dawa za mapenzi bei nafuu na hazina madhara, dawa za uhakika
Okay sawa nambie sasa unataka dawa ipi?Dodoma
Upo serious kijana. Nataka madem wanifuate wenyeweOkay sawa nambie sasa unataka dawa ipi?
Ukimfata akubali au unataka yeye ndio akufate, nasubiri jibu kijana nianze kazi
Ulimtibu mgonjwa wako? Mganga.Upo wapi, nnazo dawa za mapenzi bei nafuu na hazina madhara, dawa za uhakika