Dawa ya muwasho

Dr leader

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2016
Posts
893
Reaction score
1,021
Habari ndugu
Nasumbuliwa na muwasho mikononi, tumboni,mapajani,nyuma ya goti, sehemu za siri,makwapani na sehemu za viungio nilikuwa na mba nimetumia dawa ya mba mba umeisha ila bado muwasho upo nikijikuna sana hutokea vipele na baada ya muda hukauka na kupona
Sasa nikijikuna sana ngozi inatoa kama vumbi vumbi
Hata sehemu za siri huota pia na kupona ukijikuna huja tena kende kuwa gumu na kuota gamba
Nimebadili nguo mara kwa mara na kujitahidi kuwa msafi
Naomba msaada naweza kutumia dawa gani nikapona muwasho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…