Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
nimekutumia email PMwewe ni dr kweli?,kuna tatizo ningependa kukushirikisha kama hutojali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimekutumia email PMwewe ni dr kweli?,kuna tatizo ningependa kukushirikisha kama hutojali
Pole,Habari ndugu
Nasumbuliwa na muwasho mikononi, tumboni,mapajani,nyuma ya goti, sehemu za siri,makwapani na sehemu za viungio nilikuwa na mba nimetumia dawa ya mba mba umeisha ila bado muwasho upo nikijikuna sana hutokea vipele na baada ya muda hukauka na kupona
Sasa nikijikuna sana ngozi inatoa kama vumbi vumbi
Hata sehemu za siri huota pia na kupona ukijikuna huja tena kende kuwa gumu na kuota gamba
Nimebadili nguo mara kwa mara na kujitahidi kuwa msafi
Naomba msaada naweza kutumia dawa gani nikapona muwasho
Toa dawa mkuuHizo ni scabbies,
Vipele vinatokea sehem ya mikunjo?
Na je viko mikonon kwenye katikati ya vidole? Na mapajan vipo?
Kama ndio jibu nikupe dawa maana nilikuw na uginjwa wa hvo nilipew dawa nimepona,
Umenisumbua mda mrefu sana
Dawa yake anunue scabona cream, inauzwa elfu sitaToa dawa mkuu
[emoji849][emoji849][emoji849] explainkama umefanya ngono hivi karibuni jua hizo ni dalili za vvu
[emoji16][emoji16]Hizo kende zipulizie rungu, kuna bro aliwai kutumia ilimsaidia [emoji3]
[emoji1787][emoji1787] kende zina uvundo?Hizo kende zipulizie rungu, kuna bro aliwai kutumia ilimsaidia [emoji3]
[emoji1787][emoji1787] kende zina uvundo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alafu kasema ngumu km kokoto
[emoji1787][emoji1787] kende zina uvundo?
Hilo haliwezekani, natafuta nzuri ya kuvutiaHalafu baby unavyohangaika na kuchange avatar, unakoelekea utaniweka mzima mzima [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hilo haliwezekani, natafuta nzuri ya kuvutia
Hilo tatizo la jamaa lilishanipata niliteseka nilikuwa silali usku, nashindwa kutulia ofsini ..hiyo cetrizine nilitumia ila ni takataka haisaidii kitu.CETRIZINE, Dawa hii ni nzuri sana kukusaidia kama una tatizo la kujikuna kwenye ngozi kutokana na allergy ya matumizi ya vitu mbali mbali