Dawa ya muwasho

Pole sana mkuu, niliwahi kupatwa na tatizo hilo niliteseka zaidi ya miezi 7 ndo nikapona.

Nilichofanya mimi niligeukia upande wa tiba ya kienyeji kuna dada mmoja nilikutana nae akaniambia kwao tanga kuna majani fulan unayasaga kisha unachanganya na mafuta ya nazi unakuwa unapaka ukioga ndo nikapona.

Niliteseka sana nilikua silali usiku,kazini nashindwa kabisa kukaa na nikiwa hom navaa taulo tu maana nguo zangu nilikua siziamini tena..

Nilihama mpaka chumba nacholala nikasusia nguo zote na kila kitu ila wapi, kiufupi niliteseka.

Ushauri jaribu kwanza kwenda hosptal yenye madktari maalumu wa ngozi .
 
ushapona kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…