Dawa ya nguvu za kiume hadharani bila malipo!

Dawa ya nguvu za kiume hadharani bila malipo!

Mkuu naomba niwe mmoja kati ya hao 15.
Duh, mkuu tusubiri kidogo tu, tena itakuwa vizuri tusubiri majibu kutoka kwa watumiaji
ingawa nina uhakika majibu yatakuwa mazuri.
 
tatizo watu wakisema watarudi kwa mara ya pili hupotea kabisa GAZETI
 
Last edited by a moderator:
tatizo watu wakisema watarudi kwa mara ya pili hupotea kabisa GAZETI
 
Last edited by a moderator:
tatizo watu wakisema watarudi kwa mara ya pili hupotea kabisa GAZETI
Mkuu mimi nimedaiwa dawa hii toka 2011 na nimerudi na majibu 2014 baada ya kuipata
na kwa sasa nina uhakika ni wapi nitaipata hivyo mara hii haitachelewa sana kama ilivyotokea.
 
Mkuu mimi nimedaiwa dawa hii toka 2011 na nimerudi na majibu 2014 baada ya kuipata
na kwa sasa nina uhakika ni wapi nitaipata hivyo mara hii haitachelewa sana kama ilivyotokea.

na bei yake ipoje?
 
Duh, mkuu tusubiri kidogo tu, tena itakuwa vizuri tusubiri majibu kutoka kwa watumiaji
ingawa nina uhakika majibu yatakuwa mazuri.

Nami naomba niwe miongoni mwa hao 15 my number is 0769172586
 
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ni janga la kitaifa kwenye kaya zetu linazozidi kuongezeka.

Upungufu wa nguvu za kiume ni kero kubwa kwa zaidi ya 50% ya wanaume wenye umri zaidi ya miaka 40 na 70% kwa wenye umri wa zaidi ya miaka 60.

Upungufu wa nguvu za kiume unasababisha karaha, majuto, masikitiko, manung'uniko na huzuni kubwa kwa wanaume wenye tatizo hili. Hii inatokana na kuwa wanaume wenye tatizo hili huingiwa na woga na wasiwasi wa kudumu kutokana na kuhofia kushindwa tena kwa mara nyingine kutimiza matarajio ya wapenzi na wake zao mara watakapokutana kimwili. Hofu na wasiwasi huu utasababisha mwanaume ashindwe kabla ya kuanza tendo lenyewe. Waganga wa kienyeji na tiba mbadala nao wanatumia fursa hii kuwadanganya waathirika ili kujipatia chochote kitu mifukoni.

Chanzo cha upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo hasa cha uhanithi ni ukosefu wa damu ya kutosha inayopelekwa kwenye uume wakati wa kutaka kujamiana. Damu ya kutosha inahitajika kupelekwa kwa wingi kwenye uume ili kuijaza misuli ya uume na kusababisha kiungo hiki kisimame, kinyooke na kiongezeke unene. Kama damu haitapelekwa ya kutosha huko itasababisha uume usisimane na kusababisha kilio kwa mwanaume na hata mwanamke aliyejiweka tayari kisaikologia kupata burudani ya sex.

Sababu zinazosababisha damu isiende kwenye uume ziko nyingi, lakini za muhimu sana ni hizi zifuatazo:

1. Kuwa na msongo mkubwa wa mawazo, wasiwasi na hofu wakati wa kutaka kujamiana kunakotokana na masuala ya kikazi, kifamilia, kijamii au sababu nyingine.

2. Kuwa na maumivu makali sehemu yoyote au kuwa mgonjwa (homa, n.k)
3. Uchovu mwingi na njaa
3. Kuwa mnene kupita kiasi
4. Kuwa na shinikizo kubwa la damu (BP) au shinikizo dogo (low blood pressure)
6. Ugonjwa wa kisukari, moyo na mafigo

7. Kutumia baadhi ya dawa za kutibu magonjwa ya pressure, kisukari, allergy, akili, kupunguza hamu ya kula, na vidonda vya tumbo
8. Uvutaji sigara
9. Kunywa pombe kupita kiasi

Namna ya kuzuia na kutibu uhanithi:
1. Fanya mazoezi kila mara
2. Punguza mawazo (maliza tatizo, pata ushauri, tafuta msaada)
3. Punguza unene wako (angalia vyakula na ulaji wako, mazoezi)
4. pata muda wa kupunzika
5. Mwanamke mpe moyo mwaume anaposhindwa (usimbeze na kumdhalilisha, mpe moyo)
6. Kula vyakula vya asili (muhogo, asali, mtama, ulezi, viazi, n.k)
7. Punguza kula chumvi nyingi na mafuta mengi

8. Kula matunda maarufu yanayoongeza mzunguuko wa damu kwenye penis kama vile mabarungi (grapefruits), nanasi, matikiti maji, mapera, ndizi, strawberries, Kiwi na karanga. Kiwi na Karanga vinaongeza arginine inayozalisha nitric oxide mwilini inayosaidia kutanuka kwa mishipa ya damu na kushusha pressure, hivyo kuongeza usambazaji wa damu kwenye misuli ya uume itakayosaidia penis kusimama.

9. Acha kutumia viagra zina madhara makubwa na zitakusaidia kwa muda mfupi sana tu.
10. Mwambie dk. wako akuandikie dawa za kutibu kisukari na pressure zisizopunguza nguvu za kiume
11. Pateni pamoja ushauri kwa daktari wewe na mpenzi wako pamoja, msilaumiane.


FANYA MAZOEZI, PUNGUZA OBESITY, NA ONDOA MAWAZO KICHWANI
 
Bila kusahau kumwomba Mungu yeye ndio jibu la ndoa akumbuke rehema na neema akujalie afya wa mic,nk. maombi nayo yana nafasi kubwa kutatua changamoto zinazomsibu Mwanadamu.
 
Dah hapo kwenye kupunguza mawazo ndo pagumu,mtu unazaliwa hadi unakufa ni full michallenge yaan setback after each hinderance!
 
.....
IMG-20141104-WA0004.jpg
 
Back
Top Bottom