Habari wakuu natumaini muwazima kabisa, kabla sijaingia kwenye maada niseme kuna watu amabo tumeumbwa kiajabu sana,unakuta mtu anahadithiwa ttz la mwezio lakini badala ya mwenye TTZ kulia huwa analia anaye hadithiwa,sasa hivyo ndivyo nilivyo mim,nina rafiki yangu ambaye tukoo nae shule kitaa kimoja amenieleza matatizo yake nimemuhurumia sana kutokana na istoria yake ya mahusiano na kufika mpk alipo sasa naomba nivae uhusika kama ni mim ili tuweze kuelewana na kufupisha maneno
Nikiwa kidato cha tatu nilikuwa na mpenzi wangu E ambaye nilimpenda sana lakin kumpenda huko kulimpa kiburi na kunifanya mim kama ----- akikosea yeye huwa nilikuwa naomb msamaha mim kwa kuwa alikuwa hataki kukubali kwamba amekosea yeye anapanda hajui kujishusha,hivyo huwa naomba msamaha mim badala yake ili niwe nakaa nae vizri tusigombane kabisa lakin kila siku zilivyokuwa zinazidi kwenda hali ilikuwa mbaya,baada ya kumaliza kidato cha nne niliwahi kumwomba gemu maana tulikuwa tayari tuna takribani miaka miwili toka tumeanza uhusiano wetu lakina aligoma na kusema kwamba hatufanya kitu mpk nimuweke ndani nilimbeleza sana lakinikuona dalili nkajaribu kumfanyia supries yaani aje nyumbani lakini alikataa alidai kwamba yy ni bikra hivyo nilimuacha baadae alikwenda DSM ndipo huko akabadilika sana na kufikia kuniiita mwanaume nisiye ridhika nilimpenda sana sikutaka kumwacha nilimvumilia sana maana nilimwaidi nataka kuja kufunga nae pingu za maisha baadae maji yalinifika shingoni maana nilikuwa naona namaliza vocha zangu na muda wangu mwingi kupalizi UA ambalo haijulikani litakomaa lini nikamuacha hapo ndipo nilipoanza mchezo wa punyeto maana niliyempenda alikua ahataki kunipa tunda
lakini kipindi nafanya hivyo nilikuwa na mademu wengine ambao mim siku wapenda ila nilikuwa nao tu kwa sababu nilita napata muda wa kuongea nao siku nikiwa na mawazo sana walikuwa kama watutu hivi wakati tukiwa tunachati nilikuwa siwambii maswala ya ngono kwa sababu nilikuwa najua nikitu kisichowezekan kwakuwa walikuwa mbali na mim hivyo mkombozi wangu alikuwa ni nyeto,ni miaka sasa imepita na kila kona ninayopita na ona habari za watu wakizungumza habari ya kukosa nguvu za kiume wengine wanasema kuwa inatokea baada ya mtu kujichua sana na mim nipo hapo maana nina zaidi ya mika 4 nafanya hii kitu na kila nikipiga nyeto huwa sekunde 10 tu bao lishatoka je sasa juzi nimepata mpenz nampenda sana lakin nahofia nisije kwenda huko nkajiiabisha nkafika huko nkamchafua mtoto watu sijampa kitu kinavyotakiwa ushauri wenu
Mimi nilishindwa kumshauri maana sijui hata wap pa kuanzia