aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,224
Tuliopo Mpakani Kiasi Kwamba Malawi Naiyona Tutaipataje Iyo Dawa?
hapo kwenye kitunguuu maji na asali , naweza klukubaliana na wewe lakini kwa siagi ,naanza pata mashaka waweza rudisha tatizo.
Umenichekesha sana aisee....
Kuleni kuberi ndo mpango mzima. unamkojolea mdada mpaka anaomba poo. Tuwasiliane 0754778112
Habari za mchana huu....
Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia huu uvumi. Nauita uvumi kwa sababu mimi binafsi sijawahi kuthibitisha......nimekulia kwenye mazingira yanayolimwa karanga na nimekuwa nikila karanga mbichi kwa kiasi kikubwa lakini sikuwahi kuona hii kitu.
Nimewahi kusikia eti kuna watu wakila karanga bas siku hiyo bila kupata yale mambo bas hatopata usingizi....na kama utafanya mapenzi siku hiyo perfomance itakuwa ya kiwango cha juu....na ukionekana unakula unaulizwa 'vipi una mechi leo'?...
Sasa naomba mnipe uzoefu wenu wakuu hili jambo ni la kweli?
Na kama ni kweli ni kwa jinsia zote au ni upande wa kiumeni tu?
Na je kuna biological explanation yoyote juu ya hili?
Natanguliza shukrani
Unaweza kupata info zaidi kupitia https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/53356-je-kweli-karanga-mbichi-huongeza-nguvu-za-kiume.html.. ni mada ambazo zinalingana
Aiseee asante mkuu...nimejaribu kuperuzi sikufanikiwa kuona...ngoja niisome
Ninavyojua , karanga pamoja na vyakula vya jamii yake..cashwenuts, groundnuts..yaani zile nuts zote...maharagwe, mayai, nyanya na matunda jamii ya machungwa vina vitamini E, madini ya Zinc, na aina flani ya acids ambazo zinaongeza *sperm count* kwa mwanaume.
Mbegu zikizalishwa kwa wingi, matokeo yake hata hamu ya kufanya ngono inaongezeka. Kwa hiyo ile dhana vijana wengi waliyonayo kuwa *leo nina gemu* na wanatafuna raw nuts, inasaidia japo hata vitu vingine vinaongeza pia. Mwili wa mwanaume ukikosa madini ya zinc ni hatari kwa afya ya mbegu za kiume....