aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,224
Sasa hizo vitamin zilizopo huko kwanini nisitafute matunda na mboga au chakula vyenye hivyo vitu? Na mazoezi? Sina shida hii ila fikirieni kwanza.
Mtu una tambi kama unajifungua leo unakula kiepe na laga sana unategemea utakuwa kamili?
Mtu una tambi kama unajifungua leo unakula kiepe na laga sana unategemea utakuwa kamili?