Dawa ya nguvu za kiume hadharani bila malipo!

Dawa ya nguvu za kiume hadharani bila malipo!

Mmhhhh jamani kuna kitu kinaitwa mundende yaanii nisheeeeedaahhh kina steam baaalaaaaa angalizo usitumie ukuwa na mpnz wako 4really atakuacha,,,!!!!!!
 
Hii ni kweli? Unaweza kunipa source kama unayo ili nami niweze kuongeza ufahamu juu ya hilo...?

Sina source kiongozi, ni kitu nimesoma mda kidogo kuhusu uhusiano wa uzalishwaji wa mbegu na hamu ya kufanya ngono. Labda ujaribu kugugo.
 
Sina source kiongozi, ni kitu nimesoma mda kidogo kuhusu uhusiano wa uzalishwaji wa mbegu na hamu ya kufanya ngono. Labda ujaribu kugugo.

Nimejaribu ku-google nimeambulia patupu. Haina shida lakini kama huna source. Nilikuwa nataka kuongeza maarifa tu.
 
mpango mzima konyagi tu atakimbia hata nauli atasahau
 
Usihangaike hii ndo yenyewe
 

Attachments

  • 1413982173626.jpg
    1413982173626.jpg
    75.3 KB · Views: 569
Karanga mbichi zinasaidia kusafisha mapafu hasa zile ambazo zina magamba yake.

Kinachoongeza nguvu za kiume ni mchele mkavu kama utatafuna muda mchache kabla ya show. Mchele kiasi tu usifike hata robo kilo.
 
Karanga mbichi zinasaidia kusafisha mapafu hasa zile ambazo zina magamba yake.

Kinachoongeza nguvu za kiume ni mchele mkavu kama utatafuna muda mchache kabla ya show. Mchele kiasi tu usifike hata robo kilo.

Daah mbona sasa ni nadra sana kumuona mwanaume anatafuna mchele
 
Binafsi sidhani kama karanga zina uhusiano wa moja kwa moja na libido.

Sijawahi kuona makala yoyote ile ya kisayansi iliyotoa ushahidi wa kutosha, kuridhisha, na kuhitimisha hiyo dhana ya karanga kuongeza hamu ya kumega.

Ila kwa vile inaaminika kuwa zinaongeza hamu, kama mtu akizila na kujiona au kujisikia kwamba kweli hamu yake imeongezeka basi hiyo hamu, kwa maoni yangu, itakuwa ni matokeo ya placebo tu (placebo effect).

Karanga zinaongeza ujazo wa manii sio hamu nimelifanyia utafiti ila
 
Habari za mchana huu....
Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia huu uvumi. Nauita uvumi kwa sababu mimi binafsi sijawahi kuthibitisha......nimekulia kwenye mazingira yanayolimwa karanga na nimekuwa nikila karanga mbichi kwa kiasi kikubwa lakini sikuwahi kuona hii kitu.
Nimewahi kusikia eti kuna watu wakila karanga bas siku hiyo bila kupata yale mambo bas hatopata usingizi....na kama utafanya mapenzi siku hiyo perfomance itakuwa ya kiwango cha juu....na ukionekana unakula unaulizwa 'vipi una mechi leo'?...
Sasa naomba mnipe uzoefu wenu wakuu hili jambo ni la kweli?
Na kama ni kweli ni kwa jinsia zote au ni upande wa kiumeni tu?
Na je kuna biological explanation yoyote juu ya hili?
Natanguliza shukrani
Mpaka uwe mwanaume.
 
UUme kusimama kuna uhusiano na damu kwa 99%,lakini kuna uhusiano kati ya begu za kiume na karanga kama Eli alivyosema hapo juu

Ili uume usimame unahitaji damu ya kutosha kuingia kwenye mishipa,mtu anapokuwa anafanya mazoezi ya kutosha,kunywa maji ya kutosha pamoja na kula ndizi mbivu za kutosha zinasaidia kuongeza nguvu za kiume kwa 60%

Mazoezi yanaifanya damu kuwa neyesi hivyo kupenya kwenye mishipa kwa urahisi zaidi,maji nayo ni hivyo hivyo,ndizi zina saidia kuimarisha misuli ya mwili ikiwemo mishipa ya uume,hivyo unaweza kuona vile ambavyop inahusika hapo

Kwa uchache ni hayo .....!!
 
Back
Top Bottom