Dawa ya PrEP inavyotumika kuepuka maambukizi ya VVU

Dawa ya PrEP inavyotumika kuepuka maambukizi ya VVU

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
6,974
Reaction score
8,750
Ikiwa 'umeuza' mechi au kondomu imepasuka, basi usihamaki kwea bodaboda fasta wahi hospitali ya karibu na jipatie PEP kwa siku 28 na utakua safi.

TAHADHARI: Utapewa PEP baada ya kupimwa HIV na kuonekana NEGATIVE pia utapaswa kupitia hatua kadhaa za mahojiano (ya kukera) utawekwa kwenye foleni kadhaa (full kujichoresha) kama mtu wa nishai lazima uishie njiani.

NB: PEP ndo hizo hizo ARV kwa ujiandae kisaikolojia maudhi/side effects za mauza uza siku za mwanzo.
 
images.png
 
Sasa kama una access ya kupima kwanini usipime kabla!?? We ni maandazi kweli
Mkuu nakubali mimi ni zaidi ya maandazi au hata zaidi ya maandazi, nipe jina lolote mkuu nakubali maana nilichokua nakifanya ni uharo 100%.

Bora hata ile ya kwanza sikua na vipimo ndani, kesho yake ndio nikanunua vipimo, ya pili nilikua navyo nyumbani na akaja nikamla bila kupima kesho yake ndio nikampima.

Ila imenipa funzo la thamani ya maisha, ujinga huo sitawahi kuurudia tena.
 
Mkuu nakubali mimi ni zaidi ya maandazi au hata zaidi ya maandazi, nipe jina lolote mkuu nakubali maana nilichokua nakifanya ni uharo 100%.

Bora hata ile ya kwanza sikua na vipimo ndani, kesho yake ndio nikanunua vipimo, ya pili nilikua navyo nyumbani na akaja nikamla bila kupima kesho yake ndio nikampima.

Ila imenipa funzo la thamani ya maisha, ujinga huo sitawahi kuurudia tena.
Kuna mwanangu naye alimlamba manzi siku tano ndio akampima akamkuta positive! Jamaa alichanganyikiwa! Halafu anadai alipiga shoo very rough. So akaanza pep siku ya sita! At the end mshkaji ni negative mpaka leo
 
Kuna mwanangu naye alimlamba manzi siku tano ndio akampima akamkuta positive! Jamaa alichanganyikiwa! Halafu anadai alipiga shoo very rough. So akaanza pep siku ya sita! At the end mshkaji ni negative mpaka leo
Asijifariji. Apime tena
 
Ikiwa 'umeuza' mechi au kondomu imepasuka, basi usihamaki kwea bodaboda fasta wahi hospitali ya karibu na jipatie PEP kwa siku 28 na utakua safi.

TAHADHARI: Utapewa PEP baada ya kupimwa HIV na kuonekana NEGATIVE pia utapaswa kupitia hatua kadhaa za mahojiano (ya kukera) utawekwa kwenye foleni kadhaa (full kujichoresha) kama mtu wa nishai lazima uishie njiani.

NB: PEP ndo hizo hizo ARV kwa ujiandae kisaikolojia maudhi/side effects za mauza uza siku za mwanzo.
Hizi dawa zingewekwa tu kwenye maduka ziuzwe kama dawa nyingine.
 
Back
Top Bottom