permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Siku ya sita itakuwa tayari kashaungwa kwenye grid ya high voltage.Kuna mwanangu naye alimlamba manzi siku tano ndio akampima akamkuta positive! Jamaa alichanganyikiwa! Halafu anadai alipiga shoo very rough. So akaanza pep siku ya sita! At the end mshkaji ni negative mpaka leo