Dawa ya tumbo kujaa gesi na kuungurumaa

Dawa ya tumbo kujaa gesi na kuungurumaa

Morgan Fisherman

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2017
Posts
1,819
Reaction score
2,134
Habarini wanajamvi hivi karibuni tumbo langu limekua likijaa gesi na kuunguruma kila siku inayopelekea mpaka nimeanza kuvurunda katika tendo la ndoa yoyote anaejua dawa ya tatizo hili naomba anisaidie au kwa ushauri.
 
habarini wanajamvi

.hivi karibuni tumbo langu limekua likijaa gesi na kuunguruma kila siku inayopelekea mpaka nimeanza kuvurunda katika tendo la ndoa.

yoyote anaejua dawa ya tatizo hili naomba anisaidie au kwa ushauri.
Mkuu tumia dawa inaitwa Gaviscon liquid ni nzuri sana.
 
habarini wanajamvi

.hivi karibuni tumbo langu limekua likijaa gesi na kuunguruma kila siku inayopelekea mpaka nimeanza kuvurunda katika tendo la ndoa.

yoyote anaejua dawa ya tatizo hili naomba anisaidie au kwa ushauri.
inaweza kuwa ni ngiri pia wahi hospitali kwa uchunguzi zaidi
 
Acha ula vinywaji vyenye gesi, mapoza, unywe maji yaliyochemshwa, usinywe kwanza maziwa, usile machungwa na mahembe. fanya hivyo kwa wiki 2 ukiona mabadiliko ujue hao ndio maadui wa tumbo lako sasa utaanza kujaribisha kutumia kimoja baada ya kingine ndio utabaini kipi haswa kinacho zalisha gesi nyingi zaidi.
Habarini wanajamvi hivi karibuni tumbo langu limekua likijaa gesi na kuunguruma kila siku inayopelekea mpaka nimeanza kuvurunda katika tendo la ndoa yoyote anaejua dawa ya tatizo hili naomba anisaidie au kwa ushauri.
 
Acha ula vinywaji vyenye gesi, mapoza, unywe maji yaliyochemshwa, usinywe kwanza maziwa, usile machungwa na mahembe. fanya hivyo kwa wiki 2 ukiona mabadiliko ujue hao ndio maadui wa tumbo lako sasa utaanza kujaribisha kutumia kimoja baada ya kingine ndio utabaini kipi haswa kinacho zalisha gesi nyingi zaidi.
Mi napenda 'Mahembe' sanaaaa
 
Acha ula vinywaji vyenye gesi, mapoza, unywe maji yaliyochemshwa, usinywe kwanza maziwa, usile machungwa na mahembe. fanya hivyo kwa wiki 2 ukiona mabadiliko ujue hao ndio maadui wa tumbo lako sasa utaanza kujaribisha kutumia kimoja baada ya kingine ndio utabaini kipi haswa kinacho zalisha gesi nyingi zaidi.
asante mkuu
 
Back
Top Bottom