Dawa ya tumbo kujaa gesi na kuungurumaa

Dawa ya tumbo kujaa gesi na kuungurumaa

Hizo ni dalili za vidonda vya tumbo, wahi dispensary yyt karibu yako wakapime kipimo cha H-pyroli na kama una vidonda bado vichanga itasoma positive, nunua dawa ya h-pyroli kit nafikiri inauzwa elf60, ila ni mwisho wa matatizo unatakiwa ukianza kuitumia uwe off duty. Mi nliitumia karibu niahirishe dr. Kaniambia huwezi kufa malizia dawa hata kama inakutesa.
 
Mnyama box lake hilo
IMG_20180308_144414.jpg
 
Hizo ni dalili za vidonda vya tumbo, wahi dispensary yyt karibu yako wakapime kipimo cha H-pyroli na kama una vidonda bado vichanga itasoma positive, nunua dawa ya h-pyroli kit nafikiri inauzwa elf60, ila ni mwisho wa matatizo unatakiwa ukianza kuitumia uwe off duty. Mi nliitumia karibu niahirishe dr. Kaniambia huwezi kufa malizia dawa hata kama inakutesa.
Umeeleza vizuri, hii dawa ni maalum kwa vidonda vya tumbo vilivyo sababishwa na Hyprol tu, otherwise haifanyi kazi
 
NINI HUSABABISHA? Tatizo ili mara nyingi husababishwa na huambatana na mambo yafuatayo:
1. Kula vyakula vyenye mafuta mengi ambayo huchelewesha tumbo kufunguka kwa ajili ya usagaji wa chakula.
2. Kunywa vinywaji vyenye Carbonates, cola na kula vyakula vyenye gesi kama maharage, bigiji, vitunguu, kabichi n.k
3. Msongo wa mawazo na hasira
4. Kula haraka haraka na kula unaongea.
5. Uvutaji wa Sigara
6. Magonjwa na maambukizi katika mfumo wa chakula asa kwenye tumbo na utumbo ambayo huzuia kusagwa na kufyonzwa kwa chakula.
 
TIBA YAKE
>>Kunywa chai ya tangawizi au karafuu itasaidia kupunguza gesi >Unaweza kunywa glasi moja ya juisi ya Limao baada ya kula.
>Tafuna mbegu za maboga zinasaidia kulainisha mfumo wa chakula
>Lalia ubavu wa kushoto na pumua kwa kasi ili kupunguza gesi tumboni >Kunja miguu na ikalie uku ukinyoosha mikono na kuinamia mbele itasaidia kuongeza kasi ya mfumo wa chakula kufanya kazi na kuondoa gesi.
>Fanya mazoezi mepesi ya kutembea na kuruka ruka Kula na tafuna chakula taratibu na epuka vyakula vyenye gesi na mafuta mengi,

MUHIMU:
Nenda hosipitali kama tatizo ili linaambatana na kuharisha, kutapika, maumivu makali ya tumbo, kinyesi chenye rangi tofauti au damu na maumivu ya kifua.
 
Hizo ni dalili za vidonda vya tumbo, wahi dispensary yyt karibu yako wakapime kipimo cha H-pyroli na kama una vidonda bado vichanga itasoma positive, nunua dawa ya h-pyroli kit nafikiri inauzwa elf60, ila ni mwisho wa matatizo unatakiwa ukianza kuitumia uwe off duty. Mi nliitumia karibu niahirishe dr. Kaniambia huwezi kufa malizia dawa hata kama inakutesa.
nimepima ulcers cna
 
TIBA YAKE
>>Kunywa chai ya tangawizi au karafuu itasaidia kupunguza gesi >Unaweza kunywa glasi moja ya juisi ya Limao baada ya kula.
>Tafuna mbegu za maboga zinasaidia kulainisha mfumo wa chakula
>Lalia ubavu wa kushoto na pumua kwa kasi ili kupunguza gesi tumboni >Kunja miguu na ikalie uku ukinyoosha mikono na kuinamia mbele itasaidia kuongeza kasi ya mfumo wa chakula kufanya kazi na kuondoa gesi.
>Fanya mazoezi mepesi ya kutembea na kuruka ruka Kula na tafuna chakula taratibu na epuka vyakula vyenye gesi na mafuta mengi,

MUHIMU:
Nenda hosipitali kama tatizo ili linaambatana na kuharisha, kutapika, maumivu makali ya tumbo, kinyesi chenye rangi tofauti au damu na maumivu ya kifua.
asante sana mkuu
 
Habarini wanajamvi hivi karibuni tumbo langu limekua likijaa gesi na kuunguruma kila siku inayopelekea mpaka nimeanza kuvurunda katika tendo la ndoa yoyote anaejua dawa ya tatizo hili naomba anisaidie au kwa ushauri.
Unapendelea kunywa sana maziwa au mtindi?
 
Hebu fafanua hapo ''nimeanza kuvurunda katika tendo la ndoa'' HOW
nguvu za kiume za mwanaume zipo tumboni,tumbo likiwa vibaya mara gesi mara choo sipati mara kinyesi kigumu ujue wewe si muda mrefu unakimbiwa kitandani,na ukitaka kuwa poa usinywe dawa ya kuongeza nguvu ya kiume kwanza hakuna dawa ya hivyo ila we rekebisha tumbo lako tuu uwe unapata choo laini na cha kutosha lisiwe linajaa gesi na blah blah zingine kama hizo,utakuja kuniambia,hayo matatizo ya tumbo kuunguruma na kujaa gesi baadae yatapelekea maumivu ya kiuno,mgongo na miguu hapo ndio tatizo lako litakuwa limefika climax
 
Back
Top Bottom