Dawa ya uonevu kwa timu ndogo za nbc ni kususia kuendelea na michezo iliyosalia

Dawa ya uonevu kwa timu ndogo za nbc ni kususia kuendelea na michezo iliyosalia

Anonymous Caller

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
679
Reaction score
870
Sio jambo la kificho tena, kuwa timu kubwa hapa nchini zinapendelewa na waamuzi waziwazi..

Timu ndogo zinafahamu hili, Mashabiki tunajua hili, Wachezaji na makocha wanajua hili,
Media zote wanajua hili, TFF inalijua jambo hili,

Malalamiko haya yamekuwepo miaka nenda rudi. Lakini kwa nyakati hizi imekuwa too much.

Sasa ili kukomesha hili janga kwa manufaa mapana ya Ligi,

Timu ndogo ambao ndio Wahanga wa hili tatizo waitane, Watishie, na kama hawatasikilizwa; Wasusie kuendelea na mechi zilizobaki...hadi watakapo-hakikishiwa kutendewa haki zao.

Zipo timu 16 kwenye ligi hii. Kati ya hizo timu ndogo ni 13.

In either case, LAZIMA watasikilizwa, tena kwa kubembelezwa.

Na huu uhuni utakuwa umekomeshwa. Ni woga wao tu.

Hizi timu kubwa; Zina wachezaji wa gharama, Wanaolipwa mishahara minono, Wana mashabiki,

Wana wadhamini, Wanawafadhili, Wana kila kitu...

Kwanini wasiachwe washinde Kwa uwezo wao au advantages zao?

Yaani pamoja na benefits zote hizo, bado mkamtegemee refa ili uifunge timu kama Pamba ambayo haina chochote, sio tu uonevu bali ni laana.
 
Sio jambo la kificho tena, kuwa timu kubwa hapa nchini zinapendelewa na waamuzi waziwazi..

Timu ndogo zinafahamu hili, Mashabiki tunajua hili, Wachezaji na makocha wanajua hili,
Media zote wanajua hili, TFF inalijua jambo hili,

Malalamiko haya yamekuwepo miaka nenda rudi. Lakini kwa nyakati hizi imekuwa too much.

Sasa ili kukomesha hili janga kwa manufaa mapana ya Ligi,

Timu ndogo ambao ndio Wahanga wa hili tatizo waitane, Watishie, na kama hawatasikilizwa; Wasusie kuendelea na mechi zilizobaki...hadi watakapo-hakikishiwa kutendewa haki zao.

Zipo timu 16 kwenye ligi hii. Kati ya hizo timu ndogo ni 13.

In either case, LAZIMA watasikilizwa, tena kwa kubembelezwa.

Na huu uhuni utakuwa umekomeshwa. Ni woga wao tu.

Hizi timu kubwa; Zina wachezaji wa gharama, Wanaolipwa mishahara minono, Wana mashabiki,

Wana wadhamini, Wanawafadhili, Wana kila kitu...

Kwanini wasiachwe washinde Kwa uwezo wao au advantages zao?

Yaani pamoja na benefits zote hizo, bado mkamtegemee refa ili uifunge timu kama Pamba ambayo haina chochote, sio tu uonevu bali ni laana.
nadhani ni muhimu zaidi kwa timu zote kufanya mazoezi ya kisasa ili kucheza mpira wa kisasa hata hujuma za makusudi kabisaa za waamuzi na uongozi wa soka nchini zisifue dafu dhidi ya timu yoyote pinzani inayo hujumiwa 🐒
 
Sio jambo la kificho tena, kuwa timu kubwa hapa nchini zinapendelewa na waamuzi waziwazi..

Timu ndogo zinafahamu hili, Mashabiki tunajua hili, Wachezaji na makocha wanajua hili,
Media zote wanajua hili, TFF inalijua jambo hili,

Malalamiko haya yamekuwepo miaka nenda rudi. Lakini kwa nyakati hizi imekuwa too much.

Sasa ili kukomesha hili janga kwa manufaa mapana ya Ligi,

Timu ndogo ambao ndio Wahanga wa hili tatizo waitane, Watishie, na kama hawatasikilizwa; Wasusie kuendelea na mechi zilizobaki...hadi watakapo-hakikishiwa kutendewa haki zao.

Zipo timu 16 kwenye ligi hii. Kati ya hizo timu ndogo ni 13.

In either case, LAZIMA watasikilizwa, tena kwa kubembelezwa.

Na huu uhuni utakuwa umekomeshwa. Ni woga wao tu.

Hizi timu kubwa; Zina wachezaji wa gharama, Wanaolipwa mishahara minono, Wana mashabiki,

Wana wadhamini, Wanawafadhili, Wana kila kitu...

Kwanini wasiachwe washinde Kwa uwezo wao au advantages zao?

Yaani pamoja na benefits zote hizo, bado mkamtegemee refa ili uifunge timu kama Pamba ambayo haina chochote, sio tu uonevu bali ni laana.
Kwaiyo matusi saivi Rukhsa sio kwenye mechi.
 
nadhani ni muhimu zaidi kwa timu zote kufanya mazoezi ya kisasa ili kucheza mpira wa kisasa hata hujuma za makusudi kabisaa za waamuzi na uongozi wa soka nchini zisifue dafu dhidi ya timu yoyote pinzani inayo hujumiwa 🐒
Huo mpira Unauchezaje katika mazingira hayo...hujui emotions za kuonewa zinamwondoa mchezaji kwny track
 
Binafsi natamani kuwaona waamuzi wakichezesha kwa kufuata sheria 17 za mpira wa miguu, badala ya huu ujinga unaoendelea kujitokeza kila siku.
 
Huo mpira Unauchezaje katika mazingira hayo...hujui emotions za kuonewa zinamwondoa mchezaji kwny track
kumbe tatizo ni emotions gentleman?

hiyo ni sumu kwenye mpira.
ni muhimu kucheza mpira kwa akili huku ukudhibiti emotions za matatizo yako nyumbani na kuyaleta uwanjani, huwez kufanikiwa🐒
 
Simba inahonga marefa na kuharibu ligi yetu nayo itashushwa siku si nyingi.
Uliona wapi kadi nyekundu ikatolewa bila penati na kosa hamna, Namungo walikaza sana walicheza kwa nidhamu kukaba njia, Simba wakawa wanazurura tu uwanjani kupasiana bila faida refa akaona bora ajilipue tu maana mbona yule aliyepuyanga mechi ya fountain gate anapeta tu kwanini yeye asimalize mchezo akachukue muamala.
 
Simba inahonga marefa na kuharibu ligi yetu nayo itashushwa siku si nyingi.
Uliona wapi kadi nyekundu ikatolewa bila penati na kosa hamna, Namungo walikaza sana walicheza kwa nidhamu kukaba njia, Simba wakawa wanazurura tu uwanjani kupasiana bila faida refa akaona bora ajilipue tu maana mbona yule aliyepuyanga mechi ya fountain gate anapeta tu kwanini yeye asimalize mchezo akachukue muamala.
Mmiliki wa Yanga nae anamiliki vilabu saba na vyote vipo ligi moja, hivyo ligi imekosa mvuto kwani Yanga inahusika na upangaji wa matokeo.
 
nadhani ni muhimu zaidi kwa timu zote kufanya mazoezi ya kisasa ili kucheza mpira wa kisasa hata hujuma za makusudi kabisaa za waamuzi na uongozi wa soka nchini zisifue dafu dhidi ya timu yoyote pinzani inayo hujumiwa 🐒
Mbona nyie mnawahujumu CDM?

Naungana na mleta uzi. Mgomo ni kitu sahihi kama ambavyo tuna slogan ya "No reform, no selection"
 
Sio jambo la kificho tena, kuwa timu kubwa hapa nchini zinapendelewa na waamuzi waziwazi..

Timu ndogo zinafahamu hili, Mashabiki tunajua hili, Wachezaji na makocha wanajua hili,
Media zote wanajua hili, TFF inalijua jambo hili,

Malalamiko haya yamekuwepo miaka nenda rudi. Lakini kwa nyakati hizi imekuwa too much.

Sasa ili kukomesha hili janga kwa manufaa mapana ya Ligi,

Timu ndogo ambao ndio Wahanga wa hili tatizo waitane, Watishie, na kama hawatasikilizwa; Wasusie kuendelea na mechi zilizobaki...hadi watakapo-hakikishiwa kutendewa haki zao.

Zipo timu 16 kwenye ligi hii. Kati ya hizo timu ndogo ni 13.

In either case, LAZIMA watasikilizwa, tena kwa kubembelezwa.

Na huu uhuni utakuwa umekomeshwa. Ni woga wao tu.

Hizi timu kubwa; Zina wachezaji wa gharama, Wanaolipwa mishahara minono, Wana mashabiki,

Wana wadhamini, Wanawafadhili, Wana kila kitu...

Kwanini wasiachwe washinde Kwa uwezo wao au advantages zao?

Yaani pamoja na benefits zote hizo, bado mkamtegemee refa ili uifunge timu kama Pamba ambayo haina chochote, sio tu uonevu bali ni laana.
Na zinazo dhaminiwa na jiesiemu nazo zigome ama?
 
Wachezaji wanapania mechi mpaka wanakosa nidhamu mengine wanajitakia hata isingekuwa kadi ile bado red card ilionekana ingekuwepo tu.
Huo mpira Unauchezaje katika mazingira hayo...hujui emotions za kuonewa zinamwondoa mchezaji kwny track
 
Simba inahonga marefa na kuharibu ligi yetu nayo itashushwa siku si nyingi.
Uliona wapi kadi nyekundu ikatolewa bila penati na kosa hamna, Namungo walikaza sana walicheza kwa nidhamu kukaba njia, Simba wakawa wanazurura tu uwanjani kupasiana bila faida refa akaona bora ajilipue tu maana mbona yule aliyepuyanga mechi ya fountain gate anapeta tu kwanini yeye asimalize mchezo akachukue muamala.
Yule kawasukuma wenzake kama MAGARI mabovu yanga na Simba mnatuharibia mpira.
 
nadhani ni muhimu zaidi kwa timu zote kufanya mazoezi ya kisasa ili kucheza mpira wa kisasa hata hujuma za makusudi kabisaa za waamuzi na uongozi wa soka nchini zisifue dafu dhidi ya timu yoyote pinzani inayo hujumiwa 🐒
Mbona nyie mnawahujumu CDM?

Naungana na mleta uzi. Mgomo ni kitu sahihi kama ambavyo tuna slogan ya "No reform, no selection"
 
Sio jambo la kificho tena, kuwa timu kubwa hapa nchini zinapendelewa na waamuzi waziwazi..

Timu ndogo zinafahamu hili, Mashabiki tunajua hili, Wachezaji na makocha wanajua hili,
Media zote wanajua hili, TFF inalijua jambo hili,

Malalamiko haya yamekuwepo miaka nenda rudi. Lakini kwa nyakati hizi imekuwa too much.

Sasa ili kukomesha hili janga kwa manufaa mapana ya Ligi,

Timu ndogo ambao ndio Wahanga wa hili tatizo waitane, Watishie, na kama hawatasikilizwa; Wasusie kuendelea na mechi zilizobaki...hadi watakapo-hakikishiwa kutendewa haki zao.

Zipo timu 16 kwenye ligi hii. Kati ya hizo timu ndogo ni 13.

In either case, LAZIMA watasikilizwa, tena kwa kubembelezwa.

Na huu uhuni utakuwa umekomeshwa. Ni woga wao tu.

Hizi timu kubwa; Zina wachezaji wa gharama, Wanaolipwa mishahara minono, Wana mashabiki,

Wana wadhamini, Wanawafadhili, Wana kila kitu...

Kwanini wasiachwe washinde Kwa uwezo wao au advantages zao?

Yaani pamoja na benefits zote hizo, bado mkamtegemee refa ili uifunge timu kama Pamba ambayo haina chochote, sio tu uonevu bali ni laana.
Mzee nikwambie kitu hizo timu unazo SEMA zinaonewa zijiahidi kufunga magoli halali kwa wingi uwanjani...

Kuna kocha mmoja mkongomani alipo ona lefa anapendelea timu pinzani

Alitamka kwa lafudhi mbovu ya kikongo ""BATAOKOTA BENYEWE KUNYAVU""

TIMU ZIJITAHIDI KUTUMIA HII FALSAFA YA ""BATAOKOTA BENYEWE KUNYAVU""

Timu zipambane kupata matokeo hata Kama refa hayupo fair kwao.
 
Timu ndogo zinaonewa sana aisee mpaka hakuna haja ya hao wakubwa kucheza hizo mechi ni upuuzi mtupu.
 
Back
Top Bottom