Dawa ya uonevu kwa timu ndogo za nbc ni kususia kuendelea na michezo iliyosalia

Dawa ya uonevu kwa timu ndogo za nbc ni kususia kuendelea na michezo iliyosalia

nadhani ni muhimu zaidi kwa timu zote kufanya mazoezi ya kisasa ili kucheza mpira wa kisasa hata hujuma za makusudi kabisaa za waamuzi na uongozi wa soka nchini zisifue dafu dhidi ya timu yoyote pinzani inayo hujumiwa šŸ’
Very true mpira ni mchezo wa hadharani,
hizo timu ambazo mwandishi anasema zinaonewa zijiahidi kufunga magoli halali kwa wingi uwanjani...

Kuna kocha mmoja mkongomani alipo ona refa anapendelea timu pinzani.

Alitamka kwa lafudhi mbovu ya kikongo ""BATAOKOTA BENYEWE KUNYAVU""

TIMU ZIJITAHIDI KUTUMIA HII FALSAFA YA ""BATAOKOTA BENYEWE KUNYAVU""

Timu zipambane kupata matokeo hata Kama refa hayupo fair kwao naunga mkono hoja yako
 
Sio jambo la kificho tena, kuwa timu kubwa hapa nchini zinapendelewa na waamuzi waziwazi..

Timu ndogo zinafahamu hili, Mashabiki tunajua hili, Wachezaji na makocha wanajua hili,
Media zote wanajua hili, TFF inalijua jambo hili,

Malalamiko haya yamekuwepo miaka nenda rudi. Lakini kwa nyakati hizi imekuwa too much.

Sasa ili kukomesha hili janga kwa manufaa mapana ya Ligi,

Timu ndogo ambao ndio Wahanga wa hili tatizo waitane, Watishie, na kama hawatasikilizwa; Wasusie kuendelea na mechi zilizobaki...hadi watakapo-hakikishiwa kutendewa haki zao.

Zipo timu 16 kwenye ligi hii. Kati ya hizo timu ndogo ni 13.

In either case, LAZIMA watasikilizwa, tena kwa kubembelezwa.

Na huu uhuni utakuwa umekomeshwa. Ni woga wao tu.

Hizi timu kubwa; Zina wachezaji wa gharama, Wanaolipwa mishahara minono, Wana mashabiki,

Wana wadhamini, Wanawafadhili, Wana kila kitu...

Kwanini wasiachwe washinde Kwa uwezo wao au advantages zao?

Yaani pamoja na benefits zote hizo, bado mkamtegemee refa ili uifunge timu kama Pamba ambayo haina chochote, sio tu uonevu bali ni laana.
Zimeridhika itakuwa maana hata viongozi wao ni mashabiki wa hizi timu mbili za kariakoo
 
nadhani ni muhimu zaidi kwa timu zote kufanya mazoezi ya kisasa ili kucheza mpira wa kisasa hata hujuma za makusudi kabisaa za waamuzi na uongozi wa soka nchini zisifue dafu dhidi ya timu yoyote pinzani inayo hujumiwa šŸ’
Hujuma, (sabotage), nyie mnaita match fixing, vile vile Kuna njia nyingi za kuua panya unaweza weka ndoo ya maji akitumbukia humo anakufa ama sumu, mtego wa kumnasa mzima akafa kwa njaa, gundi huu wa gundi ukimnasa usiku panya. akiwa mkubwa atakukuruka hadi achomoke labda na wewe uwepo

Mifano hii inajaribu kufikisha ujumbe kwamba kwenye watu wengi huwezi kukomesha uhalifu Bali kudhibiti,

Similarly where there are many people you can not stop stealing or corruption but you can control
 
Very true mpira ni mchezo wa hadharani,
hizo timu ambazo mwandishi anasema zinaonewa zijiahidi kufunga magoli halali kwa wingi uwanjani...

Kuna kocha mmoja mkongomani alipo ona refa anapendelea timu pinzani.

Alitamka kwa lafudhi mbovu ya kikongo ""BATAOKOTA BENYEWE KUNYAVU""

TIMU ZIJITAHIDI KUTUMIA HII FALSAFA YA ""BATAOKOTA BENYEWE KUNYAVU""

Timu zipambane kupata matokeo hata Kama refa hayupo fair kwao naunga mkono hoja yako
ni muhimu sana ""BAOKOTE BENYEWE KUNYAVU"" :pedroP:
 
nadhani ni muhimu zaidi kwa timu zote kufanya mazoezi ya kisasa ili kucheza mpira wa kisasa hata hujuma za makusudi kabisaa za waamuzi na uongozi wa soka nchini zisifue dafu dhidi ya timu yoyote pinzani inayo hujumiwa šŸ’
Hujui boli wewe
 
Hujuma, (sabotage), nyie mnaita match fixing, vile vile Kuna njia nyingi za kuua panya unaweza weka ndoo ya maji akitumbukia humo anakufa ama sumu, mtego wa kumnasa mzima akafa kwa njaa, gundi huu wa gundi ukimnasa usiku panya. akiwa mkubwa atakukuruka hadi achomoke labda na wewe uwepo

Mifano hii inajaribu kufikisha ujumbe kwamba kwenye watu wengi huwezi kukomesha uhalifu Bali kudhibiti,

Similarly where there are many people you can not stop stealing or corruption but you can control
Eapecialy when people collude
 
kipindi fulani, kuna timu kubwa hapa nchini iliwahi kutishia kujiondoa kwny ligi ili wajiunge na ligi ya Zanzibar.

Baada ya kuwepo kwa hisia za kuonewa
 
nadhani ni muhimu zaidi kwa timu zote kufanya mazoezi ya kisasa ili kucheza mpira wa kisasa hata hujuma za makusudi kabisaa za waamuzi na uongozi wa soka nchini zisifue dafu dhidi ya timu yoyote pinzani inayo hujumiwa šŸ’

Kwahiyo wewe lawaza zote hizi zinazosemwa kwako ni uongo braza.
Achana na mechi za timu yako, ongelea sasa zile upande mwingine.
 
Kwahiyo wewe lawaza zote hizi zinazosemwa kwako ni uongo braza.
Achana na mechi za timu yako, ongelea sasa zile upande mwingine.
pamoja na lawama na pengine hujuma,
bado nasisitiza kucheza mpira wa kisasa zaidi kwa timu zote katika ligi, lawama za kweli au uongo hazikosekani lakini mwisho wa yote mpira wa maana uchezwe uwanjani :NoGodNo:
 
Tumeanza kuongea lugha moja.GSM wanaposhirikiana na Bodi ya Ligi na hongo kuharibu ligi mlikuwa mnakenua.
Sasa wengine nao wameingia msituni kelele zimekuwa nyingi.Kayoko aliboronga mkajitia ukiziwi.Mtavuna mlichopanda.
 
Back
Top Bottom