Nahitaji kujua dawa ya asili ya vidonda kooni kwani tonsil nilishatoa ila vidonda bado vipo.
Kuta za koo zimerika hivo napata maumivu, nimeenda hospital lakini hawaeleweki tiba zao.
Au hata ya hospitali ni sawa
Note: Mi sijawahi kuenda chumvini hivo usiangaike kutoa comment kwa hili.
Kuta za koo zimerika hivo napata maumivu, nimeenda hospital lakini hawaeleweki tiba zao.
Au hata ya hospitali ni sawa
Note: Mi sijawahi kuenda chumvini hivo usiangaike kutoa comment kwa hili.