Sasa na sie tulioambukizwa sii tunatakiwa tuwaambukize wengi...wee vipi bwana. Tunamalizana hapa hapa duniani.Habarini za usiku wapendwa
Kama jinsi kichwa cha habari kinavyo jieleza binafsi naona njia pekee ya kuondoa ukimwi duniani ni kuondolewa kwa dawa za kufubaza virusi au kwa jina jingine ARV kwasababu watu wanatumia izo dawa wanakua na mionekano mizuri kisha wanaendelea kusambaza kwa wengine sasa kwa mwendo huo virusi havitaisha hapa ni hizo dawa ziondolewe tu au kama kweli wanaozitengeneza wana nia njema basi watengeneze chanjo au dawa ya kutibu kabisa
Naomba kuwasilisha.
Kwani ngozi nyeusi ndioo wanapenda ngono sana?Mpaka ngoz nyeusi tuishe
😳we hujioniKwani ngozi nyeusi ndioo wanapenda ngono sana?
Tumia mpira bhanaSasa na sie tulioambukizwa sii tunatakiwa tuwaambukize wengi...wee vipi bwana. Tunamalizana hapa hapa duniani.
Mzee wa mbususu na ww unauliza 😀😀Kwani ngozi nyeusi ndioo wanapenda ngono sana?
Watu wa wapi?HIV ni project ya watu.
Una umri gani???Habarini za usiku wapendwa
Kama jinsi kichwa cha habari kinavyo jieleza binafsi naona njia pekee ya kuondoa ukimwi duniani ni kuondolewa kwa dawa za kufubaza virusi au kwa jina jingine ARV kwasababu watu wanatumia hizo dawa wanakua na mionekano mizuri kisha wanaendelea kusambaza kwa wengine sasa.
Kwa mwendo huo virusi havitaisha hapa ni hizo dawa ziondolewe tu au kama kweli wanaozitengeneza wana nia njema basi watengeneze chanjo au dawa ya kutibu kabisa
Naomba kuwasilisha.
Mbona mbususu inapendwa na makabila yote dunianiMzee wa mbususu na ww unauliza 😀😀
Kwani mie ndio mweusi peke ya gu humu jf? Wengine humu jf naona hawapendi ngono. Wao wanajiita ma vreat thinkers😳we hujioni
WaliozitengenezaWatu wa wapi?
Itakua hukuiona AIDS miaka ya 90 wewe...acha mjombaNani aliekuambia usipokunywa ARV ndio utajionesha?
Concept ni kinga na sio ugonjwa
Unajua kazi za ARV
IKIWA UTAFUATA KANUNI NA MLO MAMILI WALA HIZO HAZINA KAZI
Sasa mpira sii bora nipige nyeto tuu...sayansi ilishathibitisha kuwa ukigeggeda kwa condom utamu unapungua kwa zaidi ha asilimia 30. Siwezi kukubali hasara ya kiwango hicho ukizingatia lodge, chakula, usafir na kifuta jasho ni juu yangu🤣🤣🤣🤣🤣Tumia mpira bhana
Kama kweli wanaozitengeneza wana nia njemaHabarini za usiku wapendwa
Kama jinsi kichwa cha habari kinavyo jieleza binafsi naona njia pekee ya kuondoa ukimwi duniani ni kuondolewa kwa dawa za kufubaza virusi au kwa jina jingine ARV kwasababu watu wanatumia hizo dawa wanakua na mionekano mizuri kisha wanaendelea kusambaza kwa wengine sasa.
Kwa mwendo huo virusi havitaisha hapa ni hizo dawa ziondolewe tu au kama kweli wanaozitengeneza wana nia njema basi watengeneze chanjo au dawa ya kutibu kabisa
Naomba kuwasilisha.