- Thread starter
- #21
Jidanganye 😂😂😂Nani aliekuambia usipokunywa ARV ndio utajionesha?
Concept ni kinga na sio ugonjwa
Unajua kazi za ARV
IKIWA UTAFUATA KANUNI NA MLO MAMILI WALA HIZO HAZINA KAZI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jidanganye 😂😂😂Nani aliekuambia usipokunywa ARV ndio utajionesha?
Concept ni kinga na sio ugonjwa
Unajua kazi za ARV
IKIWA UTAFUATA KANUNI NA MLO MAMILI WALA HIZO HAZINA KAZI
46Una umri gani???
Soma tena ulichoandika halafu jishike kifuani sema kweli mimi nakaribia kufa aisee
😂😂😂 JF mtandao wa watu wanaojiona smart kumbe hakuna kituSoma tena ulichoandika halafu jishike kifuani sema kweli mimi nakaribia kufa aisee
Tahadhari kwenye mapenzi ni tahadhari ipi na unaichukuaje ukiisha kutamani?Kama wote tukichukua tahadhari basi maambukizi yatapungua mpaka kuisha.
UT wakikubaini tu wanakuwaisha akheraSasa na sie tulioambukizwa sii tunatakiwa tuwaambukize wengi...wee vipi bwana. Tunamalizana hapa hapa duniani.
😆aiseeSasa mpira sii bora nipige nyeto tuu...sayansi ilishathibitisha kuwa ukigeggeda kwa condom utamu unapungua kwa zaidi ha asilimia 30. Siwezi kukubali hasara ya kiwango hicho ukizingatia lodge, chakula, usafir na kifuta jasho ni juu yangu🤣🤣🤣🤣🤣
Tupo wengi tuKwani mie ndio mweusi peke ya gu humu jf? Wengine humu jf naona hawapendi ngono. Wao wanajiita ma vreat thinkers
Tangazo hili linakujia Kwa hisani ya Watu wa Marekani 😂Watu wa wapi?
Bado nazikumbuka sana njia zilizokuwa zikihimizwa wakati ule wa kampeni za kuzuia maambukizi ya UKIMWI nazo si zingine bali ni ABCTahadhari kwenye mapenzi ni tahadhari ipi na unaichukuaje ukiisha kutamani?
Kutongozwa na kutolea nje, kuvaa condom wakati wa kujamiiana au kufanyaje?
Je njia hizo ndiyo tahadhari?
Bado haujanishibisha kwenye hilo neno "tahadhari" lina maana gani kwenye ufanyaji wa mapenzi!
Una wazimu kweli weweHabarini za usiku wapendwa
Kama jinsi kichwa cha habari kinavyo jieleza binafsi naona njia pekee ya kuondoa ukimwi duniani ni kuondolewa kwa dawa za kufubaza virusi au kwa jina jingine ARV kwasababu watu wanatumia hizo dawa wanakua na mionekano mizuri kisha wanaendelea kusambaza kwa wengine sasa.
Kwa mwendo huo virusi havitaisha hapa ni hizo dawa ziondolewe tu au kama kweli wanaozitengeneza wana nia njema basi watengeneze chanjo au dawa ya kutibu kabisa
Naomba kuwasilisha.
Umeandika haya maoni yako ukiwa na njaa, au ulikuwa tayari umekandamiza?Habarini za usiku wapendwa
Kama jinsi kichwa cha habari kinavyo jieleza binafsi naona njia pekee ya kuondoa ukimwi duniani ni kuondolewa kwa dawa za kufubaza virusi au kwa jina jingine ARV kwasababu watu wanatumia hizo dawa wanakua na mionekano mizuri kisha wanaendelea kusambaza kwa wengine sasa.
Kwa mwendo huo virusi havitaisha hapa ni hizo dawa ziondolewe tu au kama kweli wanaozitengeneza wana nia njema basi watengeneze chanjo au dawa ya kutibu kabisa
Naomba kuwasilisha.
Wanajiita ma great thinker. Wakati vichwa vyao vimejaa upepo tu.[emoji23][emoji23][emoji23] JF mtandao wa watu wanaojiona smart kumbe hakuna kitu
Usiwe pimbi wewe. Toka lini huo mnaoita ukimwi ukamwondoa mtu katika umri mdogo kisa kakwepa kumeza dawa!!! Huyo alikuwa anaumwa ugonjwa unaoeleweka kabisa ila kwa umbulula wenu mkasingizia ni HIV wakatati ukimwi wenyewe unatibika vizuri tuKuna kadokta Fulani uchwara kama wewe kalikufa kwa mateso katika umri mdogo kisa kilikuwa na Imani modern medicine ni kuongeza sumu mwilini.
Endelea na upunguani wako.
Sio kweli hapa ukweli ni kwamba izo ARV zimewekwa ili biashara iendelee kuwepo waendelee kuwauzia dawa tu na kwa taarifa yako ata vipimo vya hao virus havitoi majibu ya ukweli kwa wakati kwaio unaweza kutana na mtu ukajidai kumpima leo kumbe kapewa wiki moja iliyopita kipimo kinaonyesha hana then anakupa na wewe mwiso wa siku wanawaita wawape izo dawa ambazo ni biashara endelevuARV ndiyo inapunguza maambukizi na ni njia ya kumaliza HIV....tatizo ni wajinga wachache kama wewe msiotumia dawa ndiyo mmebakia kuambukiza wengine.
Ujinga nacho ni kipaji. Wewe waka halafu usitumie dawa.Sio kweli hapa ukweli ni kwamba izo ARV zimewekwa ili biashara iendelee kuwepo waendelee kuwauzia dawa tu na kwa taarifa yako ata vipimo vya hao virus havitoi majibu ya ukweli kwa wakati kwaio unaweza kutana na mtu ukajidai kumpima leo kumbe kapewa wiki moja iliyopita kipimo kinaonyesha hana then anakupa na wewe mwiso wa siku wanawaita wawape izo dawa ambazo ni biashara endelevu