ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Kwa kuanza kabisa naomba tutambue wasanii wa bongo fleva wanaotumia dawa za kuchochea misuli gym wanaziita steroids/poda ni pamoja na Diamond, harmonize, jux, calisa, ney wa mitego Hawa ni baadhi ya wasanii wanaotumia dawa za kukuza misuli, ukinywa dawa hizi gym unajazia misuli haraka kwakuwa zinaenda kuchokonoa hormone na kuharibu mfumo mzima.
Tafiti za vichochoroni zimeonesha mabaunsa wengi sana wanajihusisha na vitendo vya kishoga , na hii mara nyingi huchangiwa na madawa ya kula na kuongeza misuli, ambayo mtaani yamezagaa hovyo , hata nashangaa tfda IPO wapi vitu vya ajabu vinaingia kinyemela.
Hivyo jamani tuwe makini sana na haya madawa, gym tuende lakini tufanye mazoezi bila kula virutubishonl vyovyote vya maabara.
Angalia video hapa chini uone mwanahabari anatujulisha jinsi alivyofanya utafiti dar es salaam na kuona spray na madawa yanavyoharibu mabaunsa. Tuweni makini sana pia na vidonge vya P2
Tafiti za vichochoroni zimeonesha mabaunsa wengi sana wanajihusisha na vitendo vya kishoga , na hii mara nyingi huchangiwa na madawa ya kula na kuongeza misuli, ambayo mtaani yamezagaa hovyo , hata nashangaa tfda IPO wapi vitu vya ajabu vinaingia kinyemela.
Hivyo jamani tuwe makini sana na haya madawa, gym tuende lakini tufanye mazoezi bila kula virutubishonl vyovyote vya maabara.
Angalia video hapa chini uone mwanahabari anatujulisha jinsi alivyofanya utafiti dar es salaam na kuona spray na madawa yanavyoharibu mabaunsa. Tuweni makini sana pia na vidonge vya P2