Dawa za gym/steroids Kwa wasanii na mabaunsa zina hatari za ushoga

Dawa za gym/steroids Kwa wasanii na mabaunsa zina hatari za ushoga

Ina maana ile video anayoonyesha huyo dada vijana wawili na mzungu mmoja ni Noel?sijaona vizuri kulikuwa na ukungu
Mbna hadi na jina anataja Noel, pia anaonekana.

Eti alikua anawafuatilia hadi Hyatt regency, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ni planned issue kabisaa.

Wameshindwa kuichezaa script. Lol
 
Mbna hadi na jina anataja Noel, pia anaonekana.

Eti alikua anawafuatilia hadi Hyatt regency, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ni planned issue kabisaa.

Wameshindwa kuichezaa script. Lol
Basi sikusikiliza yote
 
Mbna hadi na jina anataja Noel, pia anaonekana.

Eti alikua anawafuatilia hadi Hyatt regency, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ni planned issue kabisaa.

Wameshindwa kuichezaa script. Lol
Noel bhana
 
Mama yao Kamala Harris amekuja kuwatia moyo upinde wa mvua.
 
Ni rahisi sana kuongea/kuandika chochote kutokana na akili inavyokutuma, hata wewe una uhakika kuwa ulichoandika huna uhakika nacho, ila ndiyo hivyo umeshatukana.

Kumwambia mwanaume mwenzio hivyo, kisa katofautiana mtazamo na wewe inaumiza sana sema sina namna na huu ndiyo uhuru wa hili jukwaa unaandika utakavyo
Mnatetea ushoga na mkiitwa mashoga hamtaki mna tatizo kwenye akili zenu?
Inatakiwa muwe proud kuitwa hivyo bana

Hiyo TFDA umeiona ndiyo ya msingi sana mpaka kuja kukashifu hoja za msingi zenye maelezo marefu na ushahidi wa kutosha kabisa wa video na majina ya mashirika yanayoshutumiwa kwa kueneza jambo hilo?
Kuna mtu mmoja amesimama kupinga huo ushahidi?

Asilimia karibu sabini ya vipodozi huko kkoo ni feki kwani hatuna hiyo TFDA?

Bidhaa nyingi zinauzwa zikiwa expired kwani hao TFDA hawapo?
madawa?
Ilishawahi kuona elimu yoyote ikitolewa kwa raia kuhusu bidhaa feki na bidhaa zilizoexpire





Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Huu ni uzushi kama uzushi mwingine,nakiri kwamba hizo supplements zina side effects lakini hilo la ushoga si sababu ya matumizi ya hizo supplements.Tatizo la ushoga ni tamaa na hulka ya mtu binafsi.
 
Kiukweli nachukia kuzunguzia jambo ambalo sina ushahidi nalo hasa kama ni too specific kwa mtu au watu fulani.
Lakini.... kuna kitu kinaitwa ushahidi wa kimazingira
Ukiuangalia mtaa roughly kuna kitu unakiona hakiko sawa hasa kwa jinsia ya kiume kuanzia
dresscode
Viatu
Utembeaji
Uongeaji
Hisia
Tabia
Mwenendo na mwitikio
Imani zetu
Mahusiano
Public appearance
fashions
simu
Nk
Hivi vitu vina leta mashaka saana na zaidi vinalega kuharibu jinsia ya kiume hasa instinct ya kiume.
Kumbuka wanaotengeneza hivi vitu sio wapumbavu bali ni wataalamu hasa wa kitu kinaitwa SOCIAL ENGINEERING.
they simply know how to cultvate mind.

New world Order sio conspiracy kama wengi wanavyofiria,they have vision,missions and goals to achieve.
 
Huu ni uzushi kama uzushi mwingine,nakiri kwamba hizo supplements zina side effects lakini hilo la ushoga si sababu ya matumizi ya hizo supplements.Tatizo la ushoga ni tamaa na hulka ya mtu binafsi.
How far our technology is kujua vitu vilivyofichwa humo?
 
Watu wanachanganya sana kati ya Anabolic steroids na Whey protein (aka PODA). Hivi ni vitu viwili tofauti aisee.

Anabolic steroids ni synthetic steroidal hormones ni kama artificial testosterone hormone . Hupatikana katika mfumo wa vidonge (pills, Solution kwa ajili kuchoma sindano kwenye misuli, na pia Gel kwa ajili ya kupaka kwenye misuli. Utumiaji wa Anabolic steroids kwa kiwango kikubwa ili kuongeza ukubwa wa misuli ni hatari kwa afya. Maana hupelekea kutanuka kwa moyo, kuharibu ini, kupelekea mabadiliko makubwa ya kiwango cha cholesterol mwilini, kupungua kwa ukubwa wa korodani (kusinyaa), kuepelekea conditions kama gynoecomastia,uchizi (mania) ,hupelekea mtumiaji kuwa na aggressive behaviours hivyo anaweza kudhuru au kujidhuru mwenyewe , upara (baldness) n.k

Hii hapa chini ni picha ya steroids
anabolic-steroids.jpg


Wakati Whey protein (Poda) ni dietery supplement inayotumika kuongeza kiwango cha protein mwilini kama vile ilivyo kwa glucose powder inatumika kuongeza kiwango cha glucose mwilini. Whey protein haina madhara mwilini na hutumika duniani kote kwani husaidia kupunguza muda wa misuli kupona mara baada ya mazoezi makali, hupunguza majeraha yanayoweza kutokana na upungufu wa protein mwilini, na pia husaidia kujenga misuli. Ikumbukwe kuwa upungufu wa protein mwilini kwa mtu anayebeba vitu vizito au kufanya mazoezi mazito hupelekea kupunguza uwiano wa kiwango cha nitrogen mwilini ambao hupelekea kusababisha Protein catabolism ( kuvunjwavunjwa kwa protein) hivyo kupelekea kupungua kwa ukubwa wa misuli yaani mwili haujai na badala yake unadumaa, hupelekea pia misuli kuchukua muda mrefu kupoa, inaongea uwezekano wa mfanyaji mazoezi kupata majeraha wakati anafanya mazoezi mazito.

Ukitaka kuona jinsi protein catabolism inavyoathiri mwili waangalie makuli (wabeba mizigo mizito) masokoni, utaona mtu anabeba magunia ya kilo 150 daily ila mwili haujai (umedumaa), ila utaona mtu anabeba chuma cha kilo 60 au 70 tu gym mwili unajaa. Hii inatokana na msosi...unafanya kazi nyingi ila protein unayokula ni ndogo, mwili unaanza kutafuna misuli.

Hii hapa chini ndio picha ya Whey protein (maarufu hapa kwetu kama PODA)
images-4.jpeg
 
Nimesikikiza hii press kwa umakini leo, hili jambo ni planned kabisaa, wahusika wamejipanga kutoka kupitia hii press. Sijaona uhalisia wa chochotee kilichozungumzwa dhidi ya futuhi.
Vipi na wewe ulianza baada ya kuwa baunsa mbeba vyuma
 
Bila shaka steroid inazingua,je na hyo poda je?haina ucameroon ndani yake?
Watu wanachanganya sana kati ya Anabolic steroids na Whey protein (aka PODA). Hivi ni vitu viwili tofauti aisee.

Anabolic steroids ni synthetic steroidal hormones ni kama artificial testosterone hormone . Hupatikana katika mfumo wa vidonge (pills, Solution kwa ajili kuchoma sindano kwenye misuli, na pia Gel kwa ajili ya kupaka kwenye misuli. Utumiaji wa Anabolic steroids kwa kiwango kikubwa ili kuongeza ukubwa wa misuli ni hatari kwa afya. Maana hupelekea kutanuka kwa moyo, kuharibu ini, kupelekea mabadiliko makubwa ya kiwango cha cholesterol mwilini, kupungua kwa ukubwa wa korodani (kusinyaa), kuepelekea conditions kama gynoecomastia,uchizi (mania) ,hupelekea mtumiaji kuwa na aggressive behaviours hivyo anaweza kudhuru au kujidhuru mwenyewe , upara (baldness) n.k

Hii hapa chini ni picha ya steroidsView attachment 2570999

Wakati Whey protein (Poda) ni dietery supplement inayotumika kuongeza kiwango cha protein mwilini kama vile ilivyo kwa glucose powder inatumika kuongeza kiwango cha glucose mwilini. Whey protein haina madhara mwilini na hutumika duniani kote kwani husaidia kupunguza muda wa misuli kupona mara baada ya mazoezi makali, hupunguza majeraha yanayoweza kutokana na upungufu wa protein mwilini, na pia husaidia kujenga misuli. Ikumbukwe kuwa upungufu wa protein mwilini kwa mtu anayebeba vitu vizito au kufanya mazoezi mazito hupelekea kupunguza uwiano wa kiwango cha nitrogen mwilini ambao hupelekea kusababisha Protein catabolism ( kuvunjwavunjwa kwa protein) hivyo kupelekea kupungua kwa ukubwa wa misuli yaani mwili haujai na badala yake unadumaa, hupelekea pia misuli kuchukua muda mrefu kupoa, inaongea uwezekano wa mfanyaji mazoezi kupata majeraha wakati anafanya mazoezi mazito.

Ukitaka kuona jinsi protein catabolism inavyoathiri mwili waangalie makuli (wabeba mizigo mizito) masokoni, utaona mtu anabeba magunia ya kilo 150 daily ila mwili haujai (umedumaa), ila utaona mtu anabeba chuma cha kilo 60 au 70 tu gym mwili unajaa. Hii inatokana na msosi...unafanya kazi nyingi ila protein unayokula ni ndogo, mwili unaanza kutafuna misuli.

Hii hapa chini ndio picha ya Whey protein (maarufu hapa kwetu kama PODA)View attachment 2571025
 
Nimesikikiza hii press kwa umakini leo, hili jambo ni planned kabisaa, wahusika wamejipanga kutoka kupitia hii press. Sijaona uhalisia wa chochotee kilichozungumzwa dhidi ya futuhi.
Una akili
 
Back
Top Bottom