Kaenda mwenyewe tuacheni unazi usio na maana.Kwani dereva haruhusiwi kwenda kumfuata boss wake alipokamatwa ili arudi naye?....mwenzio kaambiwa ondoka haraka huwez kumchukua muda huu ndio gari ikaondoka.....
Lizabon yuko sasa alikamatwaaaaA
Sawa ngoja tusubiri!Vyenye ushahidi hawaongei kwa kuwa yanawahusu
miaka kadhaa nyuma kumekua na shutuma kwa serikali kufumbia macho masuala kadhaa yenye maslahi kwa taifa likiwemo hili la taifa kuangamia na madawa ya kulevya, ziku za karibuni serikali ya awamu ya nne imejizatiti kutokomeza miongoni mwa majinamizi yaliyokua yanaonekana vikwazo kwenye awamu zilizopita mbali na lile la ufisadi ambalo makomandoo wa chadema walikua wanaliweka mbele kama sera tambulishi kwao, sambamba na hilo shuhuda zinaendelea kutanabaisha kwa kujionea vijana wasanii wa filamu wanamuziki na wafanyabiashara maarufu waliokua wanaonewa haya na awamu zilizopita sasa wanatangazwa mubashara kwa kufanya biashara au kutumia madawa haya.....kilichonisukuma kuandika uzi huu ni pale makomandoo wenzangu wa chadema wanapotoka mapovu eti kwa kutajwa mwenyekiti wa chama chao kwa tuhuma za kujihusisha na ngada....kwani kwa mbowe kua mwenyekiti wa chama pekee kunaweza kumpa utakatifu wa kujitoa kwenye uhusika wa ngada?...kwa ushauri tu tuiweke nchi yetu mbele na si mtu wala kitu tuache mahaba yaliyopindukia ya kiushabiki tu na kama ingekua si kuiweka nchi mbele basi ccm makonda angeanza kumuonea haya ccm zungu na kutokumtaja kabisa...tubadilikeni jamani watu wote ni sawa na wana haki na wajibu sawa kwa jamii sio kunya anye kuku akinya bata kahara....nawasilisha
Wewe unajua utaratibu gani wa kuitwa uliondikwa kisheria? Tuanzie hapo, ktk sheria wamesema tu....mtu anayekaidi wito wa polisi anaweza kuadhibiwa kwa.....wewe ndio tupe kanuni yako na sheria ilivyosema. Wito ni wito hata kwa mdomo.
Kajifunze kwanza kuandikaHii inanikumbusha Trump. Alipokuwa akijinadi alisema atajenga ukuta Mexico kuzuia wahamiaji haramu na madawa ya kulevya. Kamanda Siro alimwambia Mbowe ajisalimishe hadi kufika leo; leo hajajisalimisha ni sawa kamkamata, kama kamkamata kweli. Lakini sielewi kwa nini Mr Mbowe ajidgalilishe kwa kujificha? Au jamani ni popaganda za Lumumba?
Kumbe kelele zote waogopa uenyekiti wa Mbowe CDM? Mwataka kupandikizi mwkt 'wenu'?kwa hiyo asikamatwe kisa tunataka ajira na viwanda?Bavicha akili zenu zina matatizo sana kwa kutetea wahalifu.
Kama akikutwa anatumia dawa,tafuteni mwenyekiti mwingine kwa sababu katiba ya chadema inamzuia mtu anetumia madawa ya kulevya kuwa mwenyekiti.
Wooote waliomwita Lowassa wana masahibu mazito sana.
Lissu,Lema,Mbowe,saa nane na wengine listi inakuja
Mkuu kumbuka ahadi ni deni. Tutajitahidi kutukumbusha utimize ahadi yako.
π±π±π±π±ππNina hakika na taarifa hii. Sijawahi kuleta habari ya uongo hapa
Kama Kiongozi Mkuu, hiyo ilikuwa nafasi yake, ya kipekee, kuonesha jinsi anavyoheshimu na kutii sheria bila shurti, hata kama imetumika vibaya.Mkuu tusaidiane katika mantiki ya Uchambuzi wako..
1-Ni utaratibu upi ulitumika kumuita Mh Mbowe.(jibu).
2-Je huo utaratibu ulizingatia kanuni kwa mujibu wa Sheria?.(Jibu)
Tuanzie hapo ili tuweze kumhukumu kwa 'Haki' Mh Mbowe ...
Kwani Mbowe aliwahi kuuza "unga" au ni tuhuma tu. Unaifahamu universal Declaration of Human rights, article 11 sec I? Mpaka mahakama itakapo thibitisha, beyond reasonable doubt, kwamba Freeman Mbowe ni mtumiaji au muuza 'unga', hizi zitabakia kuwa siasa tu!
.....................na wewe unaamini hiyo taarifa?Kama ni kweli basi Mbowe anajimaliza kisiasa, kwa nini ajifiche kama hana dosari?