Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Kwani dereva haruhusiwi kwenda kumfuata boss wake alipokamatwa ili arudi naye?....mwenzio kaambiwa ondoka haraka huwez kumchukua muda huu ndio gari ikaondoka.....
Lizabon yuko sasa alikamatwaaaaA
Kaenda mwenyewe tuacheni unazi usio na maana.
 
miaka kadhaa nyuma kumekua na shutuma kwa serikali kufumbia macho masuala kadhaa yenye maslahi kwa taifa likiwemo hili la taifa kuangamia na madawa ya kulevya, ziku za karibuni serikali ya awamu ya nne imejizatiti kutokomeza miongoni mwa majinamizi yaliyokua yanaonekana vikwazo kwenye awamu zilizopita mbali na lile la ufisadi ambalo makomandoo wa chadema walikua wanaliweka mbele kama sera tambulishi kwao, sambamba na hilo shuhuda zinaendelea kutanabaisha kwa kujionea vijana wasanii wa filamu wanamuziki na wafanyabiashara maarufu waliokua wanaonewa haya na awamu zilizopita sasa wanatangazwa mubashara kwa kufanya biashara au kutumia madawa haya.....kilichonisukuma kuandika uzi huu ni pale makomandoo wenzangu wa chadema wanapotoka mapovu eti kwa kutajwa mwenyekiti wa chama chao kwa tuhuma za kujihusisha na ngada....kwani kwa mbowe kua mwenyekiti wa chama pekee kunaweza kumpa utakatifu wa kujitoa kwenye uhusika wa ngada?...kwa ushauri tu tuiweke nchi yetu mbele na si mtu wala kitu tuache mahaba yaliyopindukia ya kiushabiki tu na kama ingekua si kuiweka nchi mbele basi ccm makonda angeanza kumuonea haya ccm zungu na kutokumtaja kabisa...tubadilikeni jamani watu wote ni sawa na wana haki na wajibu sawa kwa jamii sio kunya anye kuku akinya bata kahara....nawasilisha

Kuna kitu kinaitwa paragraph... Unakijua??

Unajua matumizi ya herufi kubwa kwenye uandishi???

Haya rekebisha huu upup.u ulioandika ili wengine tukuelewe. Nadhani watakaokuelewa hapa ni wale rafiki zako mliofeli pamoja kidato cha pili.
 
Wewe unajua utaratibu gani wa kuitwa uliondikwa kisheria? Tuanzie hapo, ktk sheria wamesema tu....mtu anayekaidi wito wa polisi anaweza kuadhibiwa kwa.....wewe ndio tupe kanuni yako na sheria ilivyosema. Wito ni wito hata kwa mdomo.

Haujajibu maswali bado ,nimekuuliza kutokana na ulivyo toa Uchambuzi wako.Rudia kusoma nilipoweka alama nyekundu ndio mantiki ya ulicho andika..Unaanzaje kuniuliza mswali ambayo kwa Uchambuzi wako unaonekana unajua ?..
 
Hii inanikumbusha Trump. Alipokuwa akijinadi alisema atajenga ukuta Mexico kuzuia wahamiaji haramu na madawa ya kulevya. Kamanda Siro alimwambia Mbowe ajisalimishe hadi kufika leo; leo hajajisalimisha ni sawa kamkamata, kama kamkamata kweli. Lakini sielewi kwa nini Mr Mbowe ajidgalilishe kwa kujificha? Au jamani ni popaganda za Lumumba?
Kajifunze kwanza kuandika
 
kwa hiyo asikamatwe kisa tunataka ajira na viwanda?Bavicha akili zenu zina matatizo sana kwa kutetea wahalifu.
Kama akikutwa anatumia dawa,tafuteni mwenyekiti mwingine kwa sababu katiba ya chadema inamzuia mtu anetumia madawa ya kulevya kuwa mwenyekiti.
Wooote waliomwita Lowassa wana masahibu mazito sana.
Lissu,Lema,Mbowe,saa nane na wengine listi inakuja
Kumbe kelele zote waogopa uenyekiti wa Mbowe CDM? Mwataka kupandikizi mwkt 'wenu'?
 
lizaboooon......huna la maana zaidi ya mbooooowe !
 
Mkuu tusaidiane katika mantiki ya Uchambuzi wako..

1-Ni utaratibu upi ulitumika kumuita Mh Mbowe.(jibu).
2-Je huo utaratibu ulizingatia kanuni kwa mujibu wa Sheria?.(Jibu)

Tuanzie hapo ili tuweze kumhukumu kwa 'Haki' Mh Mbowe ...
Kama Kiongozi Mkuu, hiyo ilikuwa nafasi yake, ya kipekee, kuonesha jinsi anavyoheshimu na kutii sheria bila shurti, hata kama imetumika vibaya.

Kwa kukaidi, katoa funzo kwa watu kama wewe UKAIDI wa kipumbavu.

Kwa kuwa ni kiongozi, dharau aliyoionesha, kwa kukaidi wito, na kejeli kwenye vyombo vya habari, ni dhahiri amesukumwa na nguvu nje ya ubinadamu na utu.

Mkubali tu ni kiongozi mwenye shari, kiburi na wakuja tu, huyo Mkuu wenu.
 
Kwani Mbowe aliwahi kuuza "unga" au ni tuhuma tu. Unaifahamu universal Declaration of Human rights, article 11 sec I? Mpaka mahakama itakapo thibitisha, beyond reasonable doubt, kwamba Freeman Mbowe ni mtumiaji au muuza 'unga', hizi zitabakia kuwa siasa tu!

Mi napendekeza kama jpm ana nia ya dhati kupambana na WATUMIAJI wa mihadhati basi apime viongozi woote SERIKALINI na ktk CCM aje upinzani halafu aanze na nyumba kwa nyumba vinginevyo ni upuuzi kuwakamata watu mashuhuri kwa visa wakati huko kwao ndo kulikooza
 
Safehouse means the house is supposed to be safe,sasa unakamatwaje nje ya geti?,

either jamaa walikuwa na inside information au ulifanyika uzembe sana,does it means countersurveillance ilikuwa NIL,

Ndo kusema hata hawakuwa na spotter wa kucheck usalama huko nje kabla boss hajachomoka ndani?,

maana hata kama imeleak information kuwa yuko hapo, a well placed spotters wangeona movements zisizokuwa za kawaida na wangeshituka
 
Watanzania ni waoga na kamwe hawataweza kufanya kupambana na ujinga wa watawala. Watanzania ni watu wa kuonewa, kutukanwa, kunyanyaswa na kufanyiwa ujinga wa aina yeyote na wasifanye lolote. Rejea Ulimboka, Mwangosi, sasa kamata kamata ya kijinga inayoendelea. Hakuna Mtanzania ataweza jitetea ila tutaishia kuropoka kwenye media kisha tutakaa kimya huku matahira yakipewa ukuu wa mikoa na kutunyea.
 
Back
Top Bottom