Emmanuel simon
Member
- May 3, 2016
- 94
- 65
Mkojo,damu labda vinaweza kutoa majibu ya kutumia madawa ya kulevya au hatumii.Vipimo vya nn
Na ndio mnapokosea....kuifanya vita hii muhimu kuchukua political inclination. Wewe na wapuuzi wenzio kama Lizaboni hamuwezi kuliona hili. Mnafanya watu wa-take sides.....CCM vs UPINZANI. Mnaifanya vita hii ngumu izidi kuwa ngumu zaidiMbowe huyu aliyeita press conferece? Nilisema huwezi kucheza na Serikali, hilo ni somo, wapinzani mna wakati mgumu sana kuelewa maana ya Serikali. Mtanyooka tu, mnafikiri nchi hii ni yenu peke yenu. Tupo Watanzania lukuki ambao tupo nyuma ya uongozi imara wa JPM.
......Hivi nchi itaendelea kweli kwa hivi vichekesho vinavyoendelea kufanyika kweli?
Jamani hebu tuacheni utani katika mambo mazito.
Hata kama mbowe angekuwa anafanya hiyo biashara hivi angekuwa mjinga kiasi gani aendelee kubaki na mzigo hadi sasa?
Utani katika mambo mazito ndio umeifanya nchi kuendelea kuchutama kama ilivyo sasa!
wameshampima mheshimiwa damu kuona kama anatumia au hatumii madawa au watamzuia hadi augue kwa kukosa madawa.
Hahahahahah wenzio wana hofu imetanda mitaa ya ufipa unadhani wafadhili au wajerumani wakisikia majibu ya mkemia yakitoka vibaya unadhani itakuwaje?Ya nani??Makonda au Sirro
Eeee bhana eee dah huyu ni kova noma kweli kweliPolisi wenyewe ndio hawa...
Wanatafuta jinsi ya kumwekea Unga ili wambambikie kesi feki afungwe Ukawa idhoofike wabaki kuua CUF na propesa wao Lipumba.Hivi inawezekana ukamshikilia mtu polisi halafu uende kufanya upekuzi kwake bila ya muhusika kuwepo
Moyo utumie kumpenda demu wako sio kuipenda CCM, ccm itakufanya kila mtu umwone adui
Mpuuzi wewe, hayo ni maoni yangu yeye aliitwa akakaidi, ati anasubiri summons, what summons? Sasa mambo ya vyama yanaingiaje hapo? Wacha pumba.Na ndio mnapokosea....kuifanya vita hii muhimu kuchukua political inclination. Wewe na wapuuzi wenzio kama Lizaboni hamuwezi kuliona hili. Mnafanya watu wa-take sides.....CCM vs UPINZANI. Mnaifanya vita hii ngumu izidi kuwa ngumu zaidi
Wakiamua watapata ushahidi tuPolisi bwana tokea wamtanganze,yeye kwani mjinga aache ushahidi ndani?
Ana hoja.....
.....umetumwa?
Zitakuwepo hizo wazokwenda kumuwekeaYaani labda vipimo lakini kwa upande wa NYARAKA TANGU AITWE MPAKA LEO AWE BADO ANAZO TU MIMI SI DHANI.
Mkuu ni wewe mwenyewe ulieandika haya au akaunt yako imeibwa, kama ni wewe nashukuru akili imeanza kurudiKuna uwezekano mkubwa yaliyomkuta Manji yanaweza kumkuta pia Mbowe, kwa style hii ni vigumu sana kupambana na vita vya madawa ya kulevya.
Nani kakuambia Vita ya madawa inapiganwa kwa kuwapima waathirikaMkojo,damu labda vinaweza kutoa majibu ya kutumia madawa ya kulevya au hatumii.
Mola yuko nae atampigania maana malipo ni hapa hapa duniani. Hakuna kisichowezekana chini ya jua.Kwa hili la Mbowe kukaidi agizo la Polisi hakika anajimaliza mwenyewe