Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Maisha ni mchezo wa duara. Kila chenye mwanzo lazima kiwe na mwisho kwa majira yake.
 
Unatakiwa kumaanisha kwamba Jinsi CHADEMA Wanavyonyoosha, kuoshwa na kutendwa ni kwasababu walishawahi kuosha na kutenda na wao

Yawezekana kuna jambo haliko sawa kwako maana CHADEMA haijawahi kushika dola na hivyo haina vyombo vya kunyoosha mtu au watu kwa mabavu. kama kuna jambo nimelisahau tafadhali nijulishe nipate faida ya JF.
 
Looks like an episode where the sterling escapes through the narrow path.......... Wacha nisome gazeti langu la Jamhuri. Huyu naye yumo kwenye list ya wauza unga 97??? Is it a reason kwa nini haikusomwa????? The sacred prince, semi god................
 
Mkuu, dalili na maneno yanayosemwa yanaashiria polisi wameshajiandaa kumpata na hatia kwa gharama
yoyote. Hili linafanyika ili kumdhoofisha kisiasa .
Mbona ni dhoofu sana tu, awe dhoofu vipi?
 
Sheria ya vyama vya siasa ndiyo katiba?
 

You just mentioned everything thats missing in this term. We dont have independent anything. We have seen how TLS were treated with regards to their election, receiving threats from the highest levels of power.
We have seen how lawyers who represent people on court have been threatened imprisonment by simply doing their jobs, we have seen civil rights organizations being shut down left and right and those that keeps speaking being threatened. We have seen the highest post in our judicial system being put on probation for fear of checks and balances.

Colour me skeptik but i wouldnt want to be caught in a legal battle with current regime with a 300 foot pole.

What is going on in our country is extremely shameful. We have been through dark alleys but this is as dark as it gets.
 
Tunachotaka kujua ni Sababu za Msingi zilizo pelekea tuhuma hizi. Au ndo Kusema ni tuhuma za kimbea za mitaani?

Kweli kama kiongozi Unaweza kumtuhumu kiongozi wa Upinzani Kwa tuhuma za mitaani?

Hivi watu wangeumizwa au kufa katika ukamataji wa kiongozi kama huyu ingekuwa ni Kwa ajili gani? Kwa faida ya nani?
 
Hawajakamata madawa ya kulevya? maana walisema anahusika na madawa ya kulevya. Wajitahidi wayakamate maana wakishindwa, lazima wajiandae kulipa toka mifukoni mwao ile "damage" kutokana na uhuni wa kukimbilia kutaja watu majukwaani bila kuwa na ushahidi.
 
Hongera jeshi la polis kwa kupambana . Na kuhitaidi kutumia nguvu kubwa isiyo hitajika ili kufurahisha walio waweka hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…