Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Makonda angekuwa nania ya dhati basi angewaweka kingpins wa drugs hapo mjini maana wanjulikana akiwemo alie mfunga kamba za viatu babaye akampa Udc!!! v inginevyo anatafuta public atention tu
 

Acha kumfananisha Yesu na vitu vya kijinga.
 
Ilo jibu mbona lipo wazi amejuaje vyombo vya habari sivilimtangaza uyo Agnes amekamatwa na poda south kilakitu kipowazi paka aliyemtuma anajulikana wala sio siri hao wakina wema wanaonewa tu
Hakuna anayeonewa acha wanyooke
 
Kinachomuuma Wema sio kuwekwa ndani, yeye anaumia tu kwa nini Masogange hajatajwa? Hawa kumbe wanajuana, ngoja nile zangu popcorn.

we nae kwani huyo aliemtaja si anajulikana na watu tu toka akamatwe sauz cha ajabu kip?
 
Sakata limeingia sura mpya.
Tutasikia yale ambayo masikio yetu hayakuwahi kusikia na kuona yale ambayo macho yetu hayakuwahi kuona.
Eeeeh! Dunia unatupeleka wapi?
 
Swali je huyu wema anatumia au hatumii madawa ya Kulevya?
 
Askari anapomkamata mtu anatakiwa amweleze wazi kuwa,"chochote unachosema kuanzia sasa kinaweza kutumika dhidi yako",
sijui sheria yetu inasema vipi kama mtuhumiwa anakamatwa bila kuambiwa haki zake
 
Kesi juu ya kesi yaani bamba to bamba.
 
Na kauli ya leo ya JPM mtaelewa somo tu,acheni watu wafanye kazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…