Mukundumbusya
Senior Member
- Aug 11, 2016
- 168
- 143
Kweli wema pwatupwatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....kasema hantorudi mileleMange mwenyewe ni suala la muda labda asirudi bongo maana wanamsubiri kwa ham kweli kweli na mkumbuke ni miaka kumi
Hutaki apambane na wahusika watuhumiwa WA mihadarati au?makonda huyu hivi hana style nyingine ya kusolve matatizo. kiki kila mahali
hakuna ajuae kesho
Ohoooo!!!Mheshimiwa naye kwa kupenda misambwanda hajamboooo!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nenda central utampata
Tatizo wabongo wengi ni waoga sana sasa itamtokea puani kwan katukana? Mbona kasema yamoyoni .kuweni wajasiliHii audio itamtokea puani wema sepetu...bora angekaa kimya tu...na hapo ajajua kuwa alikuwa recorded
Ilo jibu mbona lipo wazi amejuaje vyombo vya habari sivilimtangaza uyo Agnes amekamatwa na poda south kilakitu kipowazi paka aliyemtuma anajulikana wala sio siri hao wakina wema wanaonewa tuAnazidi kusaidia polisi tu. Alijuaje Masogange anauza madawa ya kulevya Kama hajihusishi na hiyo biashara. Halafu hii audio itazidi kummaliza. Wanasemaga mdomo huponza kichwa.
Mzee wa udakuMmh naona mambo yanazidi kuwa mazito baada ya audio clip ya wema kuvuja akimkashifu mh paul makonda alipokua kituoni,jambo lililonisikitisha ni kumuita muheshimiwa m*t*k* kweli is it fair? yule ni kiongozi tumbukeni jamani naona tunamchezea kama mpira, wema anajiingiza kwenye matatizo mazito sana na serikali, akumbuke kuwa hagombani na makonda anagombana na serikali ya CCM awamu ya tano,sasa sijui kama vita yake ataiweza.
Haya turudi kwenye ubuyu,kumbe makoo anatoka na msambwinungwa? duh na kapangiwa nyumba makongo,mmmh haya mapya aiseeh duh hii ni nomaaa