Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Dah aisee... Ndio kwanza nimefahamu nisiyokuwa siyafahamu..!
 
Hii audio itamtokea puani wema sepetu...bora angekaa kimya tu...na hapo ajajua kuwa alikuwa recorded
Tatizo wabongo wengi ni waoga sana sasa itamtokea puani kwan katukana? Mbona kasema yamoyoni .kuweni wajasili
 
Anazidi kusaidia polisi tu. Alijuaje Masogange anauza madawa ya kulevya Kama hajihusishi na hiyo biashara. Halafu hii audio itazidi kummaliza. Wanasemaga mdomo huponza kichwa.
Ilo jibu mbona lipo wazi amejuaje vyombo vya habari sivilimtangaza uyo Agnes amekamatwa na poda south kilakitu kipowazi paka aliyemtuma anajulikana wala sio siri hao wakina wema wanaonewa tu
 
Mmh naona mambo yanazidi kuwa mazito baada ya audio clip ya wema kuvuja akimkashifu mh paul makonda alipokua kituoni,jambo lililonisikitisha ni kumuita muheshimiwa m*t*k* kweli is it fair? yule ni kiongozi tumbukeni jamani naona tunamchezea kama mpira, wema anajiingiza kwenye matatizo mazito sana na serikali, akumbuke kuwa hagombani na makonda anagombana na serikali ya CCM awamu ya tano,sasa sijui kama vita yake ataiweza.

Haya turudi kwenye ubuyu,kumbe makoo anatoka na msambwinungwa? duh na kapangiwa nyumba makongo,mmmh haya mapya aiseeh duh hii ni nomaaa
Mzee wa udaku
 
Ila kweli masogange hayupo kwenye hii kadhia pamoja na kushikwa nyakati fulani airpot na madawa lakini hayupo,aliyosema wema yatakua na ukweli,atakua anatembea na masogange huyu makonda,aache kuonea watu,haki ifuate mkondo wake
 
Back
Top Bottom