Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Wema hana jipyaa anania ya kumpaka matope Rc wetu na kumkatisha tamaa. Hapa kz tu madawa gerezan
 
Word
 
Eti wana muhurumiwa wema harafu uyo alie mrekodi atamponza sana unazani fan wake wa instagram ndio watamsaidia sahau
 
Aisee hiyo record itamuumiza sana wema.. maana ndio anakoleza moto... na vile uongoz huu haupendi kutamkwa vibaya... bas tutarajie jambo
 
nani tena kamrekodi Wema? Wema kuwa makini, sio wote wanaokuja kukuona ni marafiki; wengine ni wanafiki. ona sasa!
 
Konda wetu asijisahaulishe la form four, DSM imeshika mkia.......
Kubet kubet kubet kunaua elimu
 

Wema anakosa jingine la jinai kumtusi RC
 
Wema ni mzuro sano hawezi kubabaishwa na mkuu wa mkoa tu, maana yeye anajulikana ndani na nje ya nchi hii.
 
Suala la madawa na kupangiwa nyumba Masogange linahusiana nini, kama nayeye anadil na hiyo biashara nayeye zake zinahesabika.
 
Giza likizidi sana ndio kuna kabiribia kucha. Vita imefika penyewe. Waendelee kutajana mpaka list ikamilike. List ya JK nayo iwekwe hadharani. Baada ya hapo tuingie kwenye ujangili tukianzia na list ya JK kuanzia yule bosi wa majangili tuliyeambiwa yuko Ar. Waliokamatwa hawana cha kupoteza wakitupa list kamili
 
Huyo mange ndo anamuaribia wema,bora hata wakina kajala wanavyokaa kimya,kesi ikishakua polisi ni mwiko kuingilia
Mwiko kuingilia wala kujadili iliyopo mahakamani tu.
 
Raid kasema hats make wake akamatwe lakini Hugo Dogo kausitiri mchepuko wake...!!
 
Huyu Wema wakili wake msomi Martin Kadinda yuko wapi!? Hizi kauli zinaweza kumtia hatiani bila kujua. Analalamika mbu,alitegemea huko rumande angekutana na vipepeo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…