Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

yaan wanaumuonea haswaa binti was watuu!!.
Ila ubuyu wa Leo wa Masogange...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenipa rahaaaa
 
kwa stage aliyofikia wema hata vigogo wengine wataogopa kumtetea wema,maana watakua against na serikali na magufuli sio makonda in person,yani wema Kajiongezea matatizo binmu,yani mpak nimefurahi uwii,naomba mungu atakane tena
binamuuu...loohhh
 
Ukioga kwenye dimbwi shurti unuke tope.Movie inakaribia kuwa serious
 
Tofautisha polisi na mahakamani ndugu

Halafu hivi wewe una ugomvi na huyo Wema? Naona unamtakia mabaya kila kukicha!
Mmemrekodi wenyewe na kumtangaza wenyewe povu la nini?...ametukana ndiyo!! Na kutukana ni kosa kisheria..usimshambulie ndugu yangu kwa kuongea uhalisia
 
Tatizo sio kukamatwa ama kushikiliwa kwa wale, tatizo ni makonda kuwaacha maswahiba zake ambao ni vibosile wa haya makitu.
 
Hivi tunda na vanessa mdee wameripoti?
Maana mpaka sasa sijaona picha zao wala waandishi wa habari
 
Aaa aaaaa Le big wanakusingizia bwana,kwani ye domo zege.da ila ule msambwanda si mchezo,muulize hata Huddah anaujua.
 

Sikiliza, wacha huyu mwanamke aisome namba. Alikuwa kiherehere namba moja wa CCM, alikuwa anapanda majukwaani kama celebrity na super star. Si ndo kioo cha jamii? Nadhani sasa tunapata picha kamili ya wale waliokuwa wanaipigia chapuo CCM. Tutaelewana tuu. Bull shit
 
Hapa Makonda sijui atasemaje mama yeyoo nyumbani! Maana huo nao msala mkubwa, sie tunamshangilia kuwa anapambana na mihadarati lakini mamsap yeye hata liona hilo zaidi ya habari ya Masogange kupangishiwa nyumba na kutoa pumziko kwa mumewe.
Ngoma inogile hapo, kama alivyosema Mwana Mtoka Pabaya kuwa ukiangalia mechi usiyo na upande ni raha sana.
 
Suala LA kutoka na Agnes sisi haituhusu wema usitafute huruma ya watanzania kama unahusika BA's tutajua kama huusiki tutajua vile vile... Labda angekua anatembea n wewe usingekamatwa??? Ha ha ha mwenye mamlaka kasema hata mkewe akihusika kamata wewe ni nani wema? Hiz ni tuhuma mahakama ndio itaamua unahusika au lah punguza pressure kwanza
 
Hapa wema anatafuta kesi nyingine. Wanasemaga mdomo huponza kichwa. Interesting

IQ yao ndogo sana ndugu. Kumbuka amefika hapo alipo kwa kutingisha kiuno na kuvua chupi, sasa wewe ulitaka Wema awe na reasoning capacity na ya graduate wa degree ya philosophy? Wema hajui reasoning, yeye anadhani hapo yuko stejini na mashabiki zake, ohoooooooo.
 
yaan wanaumuonea haswaa binti was watuu!!.
Ila ubuyu wa Leo wa Masogange...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenipa rahaaaa
Sana...

Ila achana na masogange... ile ya wenye hoteli kiachiwa na "boss"
 
The Wema is drawning into the deep real 'sh*t ' !!!She seems hasn't spoken to her mum for sometimes now, uh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…