Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
yaan wanaumuonea haswaa binti was watuu!!.Mpaka wathibitishe sauti ni ya wema....
Halafu kutukana ni miezi 6 tu jela
Kwanza wamuacheeeeeeee kama hawajapata kithibiti..... maubuyu na drama za mjini tutazipata wapi wakimweka jela????
Ila serious haki itendeke...kama anauza ashtakiwe na si kwa interest au kiki au kuuziwa zigo.... jela sio pazuri binamu
Ila ubuyu wa Leo wa Masogange...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenipa rahaaaa