Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Mungu azidi kumsimamia makonda coz vijana ambao ni taifa la kesho linateketea! Tunategemea kujua mengi kutoka kwako
 
Naona madame anashindana na wenyenguvu zao.
Ipo siku ataongea kisw kilichonyooka kabsaa, aendelee na hizi swaga za kusema michepuko ya watu.
 
Kwani mkuu nikisema kwamba mtu flani ni mwizi ni lazima mimi niwe mwizi au kuwajua wezi wote. Masogange ni drug dealer, au unajikuta umesahau kuwa alikamatwa South Afrika na madawa? Akamatwe na Masogange kisha aeleze aliyemtuma ni nani na alikuwa mzigo anaupeleka wapi hapa Tanzania?
Nmekuelewa mkuu ila kwa issue hii niliongerea mada husika jinsi wema alivyo ropoka meaning that anajua in and out what is going on ahsante mkuu
 
Mchango wake wa kuzunguka Tanzania nzima kusomesha namba ndo umeishia hapo????
 
Ni kweli kuwa wema kajiweka ktk wakati mgumu lakini kaeleza uhalisia pia deal wanalifaham HVO na masogange akamatwe ili watoe info ni wapi wanafata na kina nan ni big dealer wa hizi issue after that list iliyopo ikulu itajwe
Yes siwameamua kufunguka hakuna kua we una deal na mkoa au wilaya kama mh m. .amesuport issue shusha list
##mtz
 
wema amepanic tu.yaani kashikwa yeye anamtaja masogange?kama alikuwa anajua kuwa huyo masogange anauza unga mbona hakuwahi kusema
 
Ni kweli kuwa wema kajiweka ktk wakati mgumu lakini kaeleza uhalisia pia deal wanalifaham HVO na masogange akamatwe ili watoe info ni wapi wanafata na kina nan ni big dealer wa hizi issue after that list iliyopo ikulu itajwe
Yes siwameamua kufunguka hakuna kua we una deal na mkoa au wilaya kama mh m. .amesuport issue shusha list
##mtz
You are innocent until proven guilty!
Kwahiyo Wema naye ni innocent until proven guilty.
 
From mhusika wa ngada to mhusika wa kitu cha Chuga, kweli movie imeanza ku flop tena too soon kabla haijawekwa sokoni.
Nape alishasema busara itumike.

Kama issue ilikuwa kukamata wavuta bangi hakukuwa na umuhimu wa kuanza kuwatangaza watu kwenye vyombo vya habari wakati ma genge ya wavuta bangi yapo wazwaz ndani ya jiji hili.
 
Mange kimambi anasema "shughuli ya madereva kwa 6x6 ni zero"
[emoji13]
 


======

Sakata la Madawa ya Kulevya limechukua sura mpya kufuatia mwanadada mashuhuri Wema Sepetu, ambaye ni mmoja wa watuhumiwa, kutoa ya moyoni juu ya sakata zima la kukamatwa kwao na kuhusisha tukio hilo na hila dhidi yake.

Pamoja na mambo mengine, Wema amedai kwamba RC Paul Makonda anatembea na Agnes Masogange na amempangia nyumba Makongo ndio maana hajakamatwa ktk kadhia ya Dawa za Kulevya.

Operesheni ya kukamata wanaojihusisha na madawa ya kulevya ilianzishwa na Paul Makonda mwishoni mwa wiki iliyopita, ambapo alitaja majina ya watu mbalimbali wanaohitajika kituoni kwa ajili ya mahojiano, wakiwemo wasanii na maaskari polisi.

=====
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda Simon Sirro amesema kuwa mpaka sasa Jeshi la Polisi linawashikilia watuhumiwa wa Dawa za Kulevya 112 na jumla ya kete 299 huku 12 kati yao wakifikishwa Mahakamani.

Kwa taarifa hii soma > Makonda: Watuhumiwa madawa ya kulevya kuanza kupandishwa kizimbani leo au kesho

Huyu Wema anaweza kuwa sio muuzaji tu baki mtumiaji. Anashindwa kujua madhara ya kumtuhumu Makonda kuwa anatembea na Masogange! Hiyo ni kesi ya defamation, Wema ana hela za kumlipa Makonda kwa kashfa anayomtuhumu?

Vv
 
Back
Top Bottom