Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Wemaaaa, hakuna kujinunulia zawadi tena, ni mwendo Wa kuloose focus, kujipa Kesi Mpya, mfano ile ya ngede ikiwa void inanza Mpya ya hii recording, ndipo atakapomlaani alierecord na aliesambaza,time will tell
 
Mkumbuke kuwa wenzake walikamatwa pia na labda wamemtaja.
Umemsikiliza Siro juu ya kosa la Wema na Omar aliyekutwa na Kete 3 za unga ameachiwa kwa maombi maalum, Wema amekutwa na msokoto wa bangi.
 
Basi ushaidi tiyari umekamilika kama wema mwenyew anazbitsha kwamba masogange ajatajwa maana yake wema anausika na madawa na anawajua wenzake!! Birds of the same feathers do fly together
Kwani mkuu nikisema kwamba mtu flani ni mwizi ni lazima mimi niwe mwizi au kuwajua wezi wote. Masogange ni drug dealer, au unajikuta umesahau kuwa alikamatwa South Afrika na madawa? Akamatwe na Masogange kisha aeleze aliyemtuma ni nani na alikuwa mzigo anaupeleka wapi hapa Tanzania?
 
Nampongeza sana muheshimiwa makonda kwa hatua hii alaf natamani sana aisikie na hii audio ili moto uwe mkubwa zaidi kwa wema na huyo mwenzake anae ropoka kwenye background... Funga kabisa hawa watu wanatesa sana vijana kwa madawa.. Alaf muheshimiwa usiogope kuchukiwa na watenda dhambi wachache... Hata Yesu hakupendwa na watu wote sembuse wewe??? Funga kabisa wakaponde kokoto za reli yetu mpya ya standard gauge kama muheshimiwa jpm alivoagiza...
Uzinzi c dhambi?
 
Basi ushaidi tiyari umekamilika kama wema mwenyew anazbitsha kwamba masogange ajatajwa maana yake wema anausika na madawa na anawajua wenzake!! Birds of the same feathers do fly together

1.= Ushahidi
3.= Hajatajwa
2.= Tayari
4.= Anahusika
 
Hili suala la kukamata misokoto ya bangi, lisiishie kwa akina wema tu, waende mbali zaidi kupekua hata Makazi ya viongozi wetu, maana wapo baadhi wanaovuta Banghi.
 
Hili zigo lishamfia makonda....huyo wema hana cha kupoteza mpaka.sasa mnyonge mnyongeni haki yake mpeni msipompa Mungu atawaadhibu kama waleeee wa rombo gadhabu ya Mungu inatisha!
Darasa LA ngapi unasoma? Huku kwa wakubwa sawa katotoo?
 
Nyumba ndo hii?
1974578cc89011e3847d0002c9db8f14_8.jpg

Wema atusaidie tafadhali.
Mh anakula chakula mbovu maana nadhani ndani ilishapwaya, imeliwa na wangi hii kambaree
 
nimefurahi sana maana anajiongezea kesi juu ya kesi,anamtukana mkuu wa mkoa? hajui kuwa anamtukana pia raisi,muache apumzike jela tu.
Bifu lako na wema lisikufanye utete upuuzi
 

MH. PAUL MAKONDA

Aisee Sasa Imetosha Kama Hujawakuta Na Kitu Chochote Waachie Hao Vijana Waende Zao

Zaidi Ya Hapo Ni Kinyume Cha Haki Za Binadamu, Mmewahoji Kwa Siku Tatu Hamjapata Kitu Inatosha

Wote Hatupendi Madawa Ila Kwasababu Hukutumia Kichwa Ili Kuweza Kutomeza Na Ukakurupuka

Waache Polisi Waweke Kwenye Surveillance Yao Na Kama Ni Watumiaji Au Wauzaji Mtawakamata Tu

Kwa Sasa Najua Moyo Wako Ni Mzito Kukubali Matokeo Ila Ndiyo Hivyo Inatokea Hukujiandaa Vya Kutosha

Na Itakuwa Vyema Kama Utawaomba Na Msamaha Nitakuona Utakuwa Ni Shujaa Wa Kweli

Shua nachojua kama wanotumia madawa mda wote walikaa ndani wangekua na Arosto kama hakuna mtu mwenye arosto basi tunapoteza mda na kuona aibu
 

MH. PAUL MAKONDA

Aisee Sasa Imetosha Kama Hujawakuta Na Kitu Chochote Waachie Hao Vijana Waende Zao

Zaidi Ya Hapo Ni Kinyume Cha Haki Za Binadamu, Mmewahoji Kwa Siku Tatu Hamjapata Kitu Inatosha

Wote Hatupendi Madawa Ila Kwasababu Hukutumia Kichwa Ili Kuweza Kutomeza Na Ukakurupuka

Waache Polisi Waweke Kwenye Surveillance Yao Na Kama Ni Watumiaji Au Wauzaji Mtawakamata Tu

Kwa Sasa Najua Moyo Wako Ni Mzito Kukubali Matokeo Ila Ndiyo Hivyo Inatokea Hukujiandaa Vya Kutosha

Na Itakuwa Vyema Kama Utawaomba Na Msamaha Nitakuona Utakuwa Ni Shujaa Wa Kweli

Shua nachojua kama wanotumia madawa mda wote walikaa ndani wangekua na Arosto kama hakuna mtu mwenye arosto basi tunapoteza mda na kuona aibu
 
Ni ngumu kuamini ila mange kimambi ndiye adui namba moja wa wema.Kulikua na haja gani za kuposti clip za wema mda huu?
 
Back
Top Bottom