Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mheshimiwa Gavana wa jiji letu ni mpenda mimia mwenzangu.
Hata kama ningekua mimi huo mkia nisingeuacha, sio jule juu chuo kikuu, mimi ningempangia nyumba masaki kabisa.
Hii mbona ni rahisi tu, iweje umkamate ambaye huna ushahidi bali hisia tu ukamwacha yule mwenye ushahidi wa wazi? Kwenye suala hili akina wema wameonewa sana.Kwann aingize issue za kuwa anatembea nae? Angesema tu mtu flani anauza madawa na ushahidi huu hapa
Hakuna namna hahahahaha😵😵😉😉
Aiseee. Kazi ipo.Hii vita ngumu sana, Drugs Lords baada ya kuona anawatesa , wamelihonga Kanisa, sasa Durtete kaingia shakani na Kanisa katoliki
Kama uko Tanzania jiangalie. Kuokota mambo kutoka kwa Mange Kimambi na kuyaweka hapa kama yalivyo kutakuponza. Ila kama uko USA Baby mwagika tu kwa raha zako. Ila ingependeza mtu wanakunyuka huku ukipigania jambo la maana na siyo msambwanda wa Masogange [emoji23][emoji23][emoji23]Wadau kwa heshima na taadhima naombeni kujua sauti ya mtu anaeita "Aggie njoo" na jina la huyu mrembo aisee wakubwa wanafaidi sana dah!
Dah...Usijichanganye...kuna uoga na kuna uangalifu.. Pia.. . Kuna ujasiri... halafu kuna ujinga. ...[emoji13] [emoji13]Tatizo wabongo wengi ni waoga sana sasa itamtokea puani kwan katukana? Mbona kasema yamoyoni .kuweni wajasili
Kwa sababu wakuu wa awamu hii ni "watakatifu"Wema umebug umesema Masogange anatafunwa na mkuu!!!!
In fact binadamu tuna hulka ya kuogopa kukosoa maovu ya wale waliotuzidi nguvu. Wachache wanaofanya hvo huwa wanaonekana ni wakorofi hata kama wanaloliongea lina ukweli ndani yake.Dah...Usijichanganye...kuna uoga na kuna uangalifu.. Pia.. . Kuna ujasiri... halafu kuna ujinga. ...[emoji13] [emoji13]