Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Kuna simulizi ya mtu anaitwa Money Penny kule MMU. Aisee inaakisi sana hii kitu.

Kwenye hiyo simulizi kuna mkuu wa mkoa anaitwa PAtrick ni malaya ajabu na alihusika kuvuruga uchaguzi. Anamdate binti anaitwa MAringo na amempangia nyumba eneo la wadosi kunako vilima. Na binti kamzalia mtoto.

Mkuu wa mkoa akapata kashfa hiyo ya uchaguzi akahukumiwa kwenda jela maisha. Huko inafanyika utaratibu waziri mkuu anamuhamishia nje ya nchi kufanya kazi za kisnitch nae anakusanya MAringo na mwanae na kusepa zao.

Nimejufunza kitu
 
Hizi habari zimetapakaa sana humu jf Ku keep bz tu mtandao .wisho wa siku tunakua nao mtaani na maisha safi wako wapi EPA,ESCROW na kina RICHMOND umu kuzugana tu na kujipaisha TZ hakuna hatua zozote zile inakwenda wiki ya pili sasa story hizo hizo very bouward.
 
makonda huyu hivi hana style nyingine ya kusolve matatizo. kiki kila mahali
hakuna ajuae kesho
Dada yangu kukuita Mkuu wa mkoa Mr Makonda na kutakiwa kujieleza hakuna sababu ya kuogopa ikiwa kama ni wewe huvuti unga wala hauzi unga. Watakao ogopa ni wale wanavuta unga na kuuza unga. Mimi pia ninampongeza Mkuu wa Mkoa Mr Makonda kwa kazi yake anayoifanya ingawa ni vita ngumu sana .Ni Vigumu hivi Vita kuvishinda lakini atavishinda akishirikiana Mheshimiwa Rais Magufuli.
 
mambo hayo USA sio hapa hapa kichura chura alafu una funga domo asa yule kali fungua domo atajuta
 
wema kachafua hali ya hewa, hivi yule askari aliyempitishia simu, mle sero yupo kweli hapo central, na nyie maaskari mkome kujipendekeza kwa masupa star, anasema hata maaskari wanamshangaa makoo. mdomo umekuponza, ungesubiri uhojiwe ungekaa au ungekubali kama unabwia au unauza. mbona TID kakubali na kaachiwa. kubwia vumbi hakufai ukimcheki chid benz inatia huruma kwakweli.
 
Kwenye ile video ya "Agi... Njoo" sekunde ya 3 na 4 kuna mguu wa mchukua video unanyanyuka juu hadi kuonekana. Ni wa kushoto.

Kama vile kucha gumba ina doti jeusi au alama kama ya kukaribia kucha kutoka. Shepu ya mguu walau nusu ya mbele ipo wazi.

Sasa wanaejua miguu ya bwana yule na hasa hilo doti la gumba la kushoto wanaweza kujua km ndiye au la. Na je, yule ndie Masogange mwenyewe au ni kashfa tu km anavyodai OKW BOBAN SUNZU?
 

Attachments

  • Screenshot_2017-02-09-15-09-53.png
    Screenshot_2017-02-09-15-09-53.png
    437.1 KB · Views: 86
makonda huyu hivi hana style nyingine ya kusolve matatizo. kiki kila mahali
hakuna ajuae kesho
Anahitaji semina elekezi huyu inaonekana hajui system inavyofanya kazi, ataharibu nchi asipoangalia
 
nimefurahi sana maana anajiongezea kesi juu ya kesi,anamtukana mkuu wa mkoa? hajui kuwa anamtukana pia raisi,muache apumzike jela tu.
Acha upuuzi wako wewe, huyo mkuu wako wa mkoa ndio kaanza kuwauzia watu kesi kwenye media,kazi ya polisi, prosecutors na mahakama ni nini sasa? subiri waje wamtengeneze kwa kuchafua majina ya watu
 
Back
Top Bottom