Dawa za kuongeza maumbile

Dawa za kuongeza maumbile

Micky02

New Member
Joined
Jul 13, 2021
Posts
3
Reaction score
5
Habari wadau, naombeni msaada kwa yeyote anaefahamu dawa za kuongeza maumbile ya kiume naomba anisaidie lakini ziwe dawa za asili.

Au kama ulisha wahi kutumia dawa hizo na zikakupatia matokeo tafadhali naomba nisaidie.
 
Elf 50 tu mzigo unakua 0712505049
 

Attachments

  • Screenshot_20240622-175224_Instagram Lite.png
    Screenshot_20240622-175224_Instagram Lite.png
    983.4 KB · Views: 44
Habari wadau, naombeni msaada kwa yeyote anaefahamu dawa za kuongeza maumbile ya kiume naomba anisaidie lakini ziwe dawa za asili.

Au kama ulisha wahi kutumia dawa hizo na zikakupatia matokeo tafadhali naomba nisaidie.
Kabla ya kukupa dawa tuambie kipimo kinasoma ngapi kwasasa
 
Kwani ukipima inasoma inch ngapi mkuu, mbona mnapenda kujiongezea stress, mungu hakupi vyote kakunyima ndonga, jitahidi uwe fundi wa kupiga deki,bingwa wa katerero, mtaalamu kabisa wa maandalizi, vidole kama vinapiga piano, mwanamke hujamtia DUDU tayari kaishakojoa viwili vi3, kamata nyonyo hizo, nyonya kama embe dodo huku mkono unacheza na BIBI, ama lamba shingo hiyo huku mkono unasugua kiHARAGE, kama una kibamia cha wastani kinatosha kumburudiaha mwenzio KUNGONOKA ni sanaa, inahitaji ubunifu mkubwa tu, jitahidi kwa hali yako hiyo hiyo unoge.
 
Kuna muda nikawa najiuliza swali dogo tu.

Mwanamke ambae ni MSAGAJI anaweza vip kumtosheleza Mwanamke anayemsaga mpk anafika kileleni? Na hana hata Uume?

Conclusion ikaja kuwa, ktk swala zima la Mapenzi kwa upande wa Mwanaume si lazima utumie UUME wako kumtosheleza Mwanamke kwa asilimia 100.

Jitahidi uujue mwili wa Mwanamke vzr, kuna Wanawake hutokuj kuwakojoza kwa Uume. never, nishawah experience hiyo kitu ikabidi nijirisk Koo langu ilimradi nisiaibishe MIZIMU ya kwetu.
 
Kisayansi hakuna dawa ya kupaka au kunywa inayoweza ikakuza uume na ukapata matokeo permanent labda kama unataka kufanya operation. Na sijui kama hiyo operesheni inafanyika hapa Bongo. Cheki na Mloganzila wanaweza kuwa nayo. Operesheni hii ni delicate na inabidi ifanywe na mabingwa hasa maana kakosa kadogo tu basi we hanithi!

Kama unaamini mambo ya kimila njoo huku Misungwi uulize kwa bibi mmoja anaitwa Mama Mageni. Atakuchanja dawa kwenye dushe na utakaa kwake au po pote pale Misungwi kwa wiki 1 - 3 kutegemea na ukubwa unaoutaka; na matokeo yake ni permanent na bila athari yo yote. Hata wiki unaweza usiimalize basi mnaagana. Ada yake ni cho chote utakachompa maana yeye siyo mganga. Ukija Misungwi nitafute!
 
Kwani ukipima inasoma inch ngapi mkuu, mbona mnapenda kujiongezea stress, mungu hakupi vyote kakunyima ndonga, jitahidi uwe fundi wa kupiga deki, kama una kibamia cha wastani kinatosha kumburudiaha mwenzio KUNGONOKA ni sanaa, inahitaji ubunifu mkubwa tu, jitahidi kwa hali yako hiyo hiyo unoge.
Shida sio mapenz mzee kunawakati unakosa uhuru na kujiamini,kuna nguo unashindwa kuvaa kabisa kama nguo za mpira nguo za kitambaa yani kunanamna natamani uelewe namna gani inatesa hii hali
 
Kila
Shida sio mapenz mzee kunawakati unakosa uhuru na kujiamini,kuna nguo unashindwa kuvaa kabisa kama nguo za mpira nguo za kitambaa yani kunanamna natamani uelewe namna gani inatesa hii hali
Kila jambo ni upokeaji, hebu jiamini halafu utaona, sasa unataka ukivaa nguo ukuni uonekane 😂🤣, jikubali kwanza, maisha yatakuwa mepesi la sivyo utateseka sana.
 
Hakuna dawa ya kuongeza maumbile ya kiume,isipokuwa labda kama yalikuwa makubwa halafu yameanza kusinyaa kadri siku zinavyokwenda,hiyo inawezekana kabisa kuyarejesha.Lakini kama umekua na maumbile madogo ya asili ni ngumu.Ninakwambia wazi kwa sababu ninaelewa mambo haya vyema.
 
Shida sio mapenz mzee kunawakati unakosa uhuru na kujiamini,kuna nguo unashindwa kuvaa kabisa kama nguo za mpira nguo za kitambaa yani kunanamna natamani uelewe namna gani inatesa hii hali
Unataka uwe shower akat inawezekana we ni grower mkuu. Uume haungaliwi ukiwa umelala bali unàangalia ukiwa umesimama. Yawezekana we ni grower lkn hujui unawaza tu uonekane mboo imejichora kwenye suruali sjui ili upate faida gani. We pima ina inch ngapi ikiwa imesimama ili ujue kama ni ndogo au vp🥴
 
I
Habari wadau, naombeni msaada kwa yeyote anaefahamu dawa za kuongeza maumbile ya kiume naomba anisaidie lakini ziwe dawa za asili.

Au kama ulisha wahi kutumia dawa hizo na zikakupatia matokeo tafadhali naomba nisaidie.
"I wish I had money instead of huge cock" tafuta hela mapenzi confidence
 
Back
Top Bottom