Bess
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 547
- 656
Nianze kwa kisema.., Vyakula vya mbegu kama maharage, karanga, njegere, korosho na vyakula vya protein(nyama, samaki, kuku) ni malighafi za kiwanda cha kutengeneza nguvu za ajabu..... Hii ni salama na zaid ya salama
Kuwa na mda wa kupumzika, kuepuka 'stress' na visababishi vya magonjwa ya pressure, moyo na kisukari ni tiba na kinga...
Kutumia madawa haya hulazimisha moyo kusukuma damu kuliko uwezo wake., na mwendelezo wa matumiz husababisha baada ya mda kuwa na tatizo LA moyo..
Pia kuamsha MTU kila wakati bila yeye kupenda....simama-kaa, simama-kaa, simama-kaa., baadaye hu-ua kabisa nguvu ya asili inayoambiaga huyu MTU kusimama na kukaa..
Baada ya mda huyu MTU atakuwa hawez kufanya chochote bila kutegemea ki-amusho(dawa ya kuongeza nguvu)
Pia ku-watch pono(picha chafu) ni SBB nyingine inayoua nguvu ya asili ya mwanaume SBB ina- disconnect njia za asili za Neva zinazounganisha ubongo na huko kunakotakiwa kuamka...
Kijana mwenye tabia ya kuangalia usishangae baadaye haezi chochote hadi a-watch hizi picha..
Hii ndio sababu, pamoja na nyingine iliyopelekea serikali kupitia wizara ya afya kuzuia watching of phonographs..
Kuwa na mda wa kupumzika, kuepuka 'stress' na visababishi vya magonjwa ya pressure, moyo na kisukari ni tiba na kinga...
Kutumia madawa haya hulazimisha moyo kusukuma damu kuliko uwezo wake., na mwendelezo wa matumiz husababisha baada ya mda kuwa na tatizo LA moyo..
Pia kuamsha MTU kila wakati bila yeye kupenda....simama-kaa, simama-kaa, simama-kaa., baadaye hu-ua kabisa nguvu ya asili inayoambiaga huyu MTU kusimama na kukaa..
Baada ya mda huyu MTU atakuwa hawez kufanya chochote bila kutegemea ki-amusho(dawa ya kuongeza nguvu)
Pia ku-watch pono(picha chafu) ni SBB nyingine inayoua nguvu ya asili ya mwanaume SBB ina- disconnect njia za asili za Neva zinazounganisha ubongo na huko kunakotakiwa kuamka...
Kijana mwenye tabia ya kuangalia usishangae baadaye haezi chochote hadi a-watch hizi picha..
Hii ndio sababu, pamoja na nyingine iliyopelekea serikali kupitia wizara ya afya kuzuia watching of phonographs..