Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Wakuu
Naomba kuuliza dawa za mzizi mkavu zile za kumrefusha bwana mkubwa zinafanya kazi kweli au ndo wajanja wa town. kuna yeyote aliwahi kutumia akapata matokeo chanya? Kama kweli zinatibu kwanini asitumie verified user kwa jina halisi na picha yake ili aongeze uaminifu kwa wateja wake. Ni mashaka yangu tu kama kuna mtu ana ufafanuzi anaweza akanisaidia hapa jukwaan.
Naomba kuuliza dawa za mzizi mkavu zile za kumrefusha bwana mkubwa zinafanya kazi kweli au ndo wajanja wa town. kuna yeyote aliwahi kutumia akapata matokeo chanya? Kama kweli zinatibu kwanini asitumie verified user kwa jina halisi na picha yake ili aongeze uaminifu kwa wateja wake. Ni mashaka yangu tu kama kuna mtu ana ufafanuzi anaweza akanisaidia hapa jukwaan.