kufanakupona
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 522
- 421
Habari wakuu.
Huwa nikisoma vikaratasi vya maelekezo ya dawa, nakutana na ingredients zilizotumika kutengeneza hiyo dawa.
Najiuliza, wanaotengeneza dawa wametengeneza hiyo dawa kwa kutumia ingredients hizohizo au kuna ingredients nyingine ila hawajazitaja kwa kuepuka msururu wa maelezo ya ingredients?.
Karibuni.
Huwa nikisoma vikaratasi vya maelekezo ya dawa, nakutana na ingredients zilizotumika kutengeneza hiyo dawa.
Najiuliza, wanaotengeneza dawa wametengeneza hiyo dawa kwa kutumia ingredients hizohizo au kuna ingredients nyingine ila hawajazitaja kwa kuepuka msururu wa maelezo ya ingredients?.
Karibuni.