Dawa zisizo rasmi za kuzuia kupata mimba!

Dawa zisizo rasmi za kuzuia kupata mimba!

mm
Habari!

Naomba kujifunza, wewe binti/mwanamke unatumia dawa gani kuzuia mimba pindi unapofanya tendo la ndoa bila kinga?

Kuna wale wanaotumia vidonge vya Asprin au Metronidazole kabla ya tendo, je inawasaidia kweli?

Vipi kuhusu soda ya Cocacola?

Tujikite katika njia zilizo tofauti na contraceptives!

Sent using Jamii Forums mobile app
mm kuna mchepuko wangu na ugegedaga huwa bada ya kushusha wazungu hukimbilia kunywa maji, ila haisaidi kituu kwani niliwahi mpa mimba
 
Kama umekutana na partner wako siku ya hatari,unakunywa mchanganyiko wa maji na majivu baada ya tendo.
Mchanganyiko huo uwe na ujazo wa kikombe cha chai.
Aisee majivu na digestion wapi na wapi,hapo si utaumwa tu tumbo mrembo!?
 
Back
Top Bottom