mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Tulia weweAibu sana mkuu... Nobody is taking action coz hawajali
Kwani hupendi kulamba asali wewe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia weweAibu sana mkuu... Nobody is taking action coz hawajali
Mkuu hiyo barua kwanza hadi imfikie mhusika sio leo. Na ataisoma baada ya miezi. Tumeshafuatilia sana ofisi zao na tumekwama.Lengo la kuleta uzi humu ni kuwataka waache upuuzi na wawajibishwe sababu hata mawaziri wanasoma humu.
Umekuja kutuchoma sio? Tutadili na weweNiliomba huduma ya maji safi, wakaja saveya, wakasema nyumba yako iko nje ya mita 50.
Andika barua kwenda kwa meneja, kwamba uko tayari kulipa gharama za mita zilizoongezeka. Nika andika huo mwezi wa August 2023.
Safari za nenda rudi zikaanze, mara hakuna mita, mara vile.
January 2024, jirani yangu ambaye yuko mbali zaidi yangu aliletewa maji ndani ya masaa 2.
Jirani wewe umefanya nini? akaniambia nimetoa rushwa ya laki tisa.
Nipe namba za wadau,
Kwangu waliomba 1.2milioni. Nikalipa laki tisa, na nikatumiwa control number saa moja jioni! siku iliyofuta nikaletewa maji safi.
Tunatumia ofisi ya dawasa salasala.
Kuna wadau hawa:
saveya mmasai
saveya mchaga (kaoa mwaka jana mwishoni)
Kuna wawekezaji wagiriki, wamewapiga pesa za kutosha.
Acha niishie hapa!
KWA WEWE MWENYE UWEZO RUSHWA NI KITU KIZURI NA NI SHORT CUT,Watu msiogope wala msiwe na makasirikio kutoa rushwa. Mimi nikienda hospital, Tanesco, Dawasa, Polisi, na hata trafiki akinipiga tochi natoa rushwa na maisha yananiendea swaaafii.
Nyie mnaojitia wagumu kutoa rushwa, mtàlalamika mpaka Yesu atakaporudi.
Hii ni Tanzania bwana. Kama Magu aka jiwe kweri kweri aliruhusu tutoe rushwa, wewe ni nani ukatae?
Wangetuambia toka mwaka jana kuwa tutoe rushwa watufungie maji, sio kutuzungusha miezi mitano wameishiwa vifaa. Si wafunge ofisi basiWatu msiogope wala msiwe na makasirikio kutoa rushwa. Mimi nikienda hospital, Tanesco, Dawasa, Polisi, na hata trafiki akinipiga tochi natoa rushwa na maisha yananiendea swaaafii.
Nyie mnaojitia wagumu kutoa rushwa, mtàlalamika mpaka Yesu atakaporudi.
Hii ni Tanzania bwana. Kama Magu aka jiwe kweri kweri aliruhusu tutoe rushwa, wewe ni nani ukatae?