KERO DAWASA kuna rushwa kwenye ufungaji wa maji

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mkuu hiyo barua kwanza hadi imfikie mhusika sio leo. Na ataisoma baada ya miezi. Tumeshafuatilia sana ofisi zao na tumekwama.Lengo la kuleta uzi humu ni kuwataka waache upuuzi na wawajibishwe sababu hata mawaziri wanasoma humu.
Unaipeleka mwenyewe mguu kwa mguu... ofisi zao si zinajulikana zilipo...ukifika unamuulizia meneja wa Tawi...!​
 
Umekuja kutuchoma sio? Tutadili na wewe
 
Watu msiogope wala msiwe na makasirikio kutoa rushwa. Mimi nikienda hospital, Tanesco, Dawasa, Polisi, na hata trafiki akinipiga tochi natoa rushwa na maisha yananiendea swaaafii.

Nyie mnaojitia wagumu kutoa rushwa, mtàlalamika mpaka Yesu atakaporudi.

Hii ni Tanzania bwana. Kama Magu aka jiwe kweri kweri aliruhusu tutoe rushwa, wewe ni nani ukatae?
 
KWA WEWE MWENYE UWEZO RUSHWA NI KITU KIZURI NA NI SHORT CUT,
KUNA WENZETU HAWANA UWEZO.
USISAHAU RUSHWA SIO PESA TU, KUNA WENGINE WANAOMBA MAPENZI.
JE UKO TAYARI KUONA MAMA,DADA, BINTI YAKO AKIFANYWA KWA AJILI YA KUPATA HUDUMA FLAN?

Mhadhiri wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru, Haliye Haliye amefikishwa mahakamani ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha kwa tuhuma za kuomba rushwa kwa wanafunzi ili kuwasaidia wafaulu mitihani wa marudio.

Muuguzi matatani kwa kumuomba rushwa Mjamzito, adaiwa kumsababishia maumivu makali​

 
Wangetuambia toka mwaka jana kuwa tutoe rushwa watufungie maji, sio kutuzungusha miezi mitano wameishiwa vifaa. Si wafunge ofisi basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…