Nyarupala
JF-Expert Member
- Jun 2, 2024
- 494
- 856
Ni katika kuhangaika kupata maji leo asubuhi nikampanga kijana anaesambaza maji kwa kutumia gari akiniambia saa mbili asubuhi atakuwa ameshaleta hayo maji.
Saa mbili na nusu nampigia kujua kama anakuja au niendelee kutafuta njia nyingine ya kupata huduma hii muhimu, akaniambia anasubiri dawasco wafungue ili aweze kujaza maji kwenye tank lake.
Saa nne alikuwa ameshafika, nikamuuliza inakuwaje dawasco wanauza maji wakati huku mtaani hatuna maji? Kijana akaniambia Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake. 'kwahyo haya maji syo mgao?' nilimuuliza, 'inawezekana lakini syo mara zote' alinijibu.
Dawasco ubungo acheni hiyo michezo, mnatuumiza sana wananchi wa hali ya chini, imagine Lita 3000 nanunua kwa sh. 50,000 kweli?
Saa mbili na nusu nampigia kujua kama anakuja au niendelee kutafuta njia nyingine ya kupata huduma hii muhimu, akaniambia anasubiri dawasco wafungue ili aweze kujaza maji kwenye tank lake.
Saa nne alikuwa ameshafika, nikamuuliza inakuwaje dawasco wanauza maji wakati huku mtaani hatuna maji? Kijana akaniambia Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake. 'kwahyo haya maji syo mgao?' nilimuuliza, 'inawezekana lakini syo mara zote' alinijibu.
Dawasco ubungo acheni hiyo michezo, mnatuumiza sana wananchi wa hali ya chini, imagine Lita 3000 nanunua kwa sh. 50,000 kweli?