DAWASA wanatoa wapi maji wanayowauzia wenye magari ili waje kutuuzia mtaani?

DAWASA wanatoa wapi maji wanayowauzia wenye magari ili waje kutuuzia mtaani?

Nyarupala

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2024
Posts
494
Reaction score
856
Ni katika kuhangaika kupata maji leo asubuhi nikampanga kijana anaesambaza maji kwa kutumia gari akiniambia saa mbili asubuhi atakuwa ameshaleta hayo maji.

Saa mbili na nusu nampigia kujua kama anakuja au niendelee kutafuta njia nyingine ya kupata huduma hii muhimu, akaniambia anasubiri dawasco wafungue ili aweze kujaza maji kwenye tank lake.

Saa nne alikuwa ameshafika, nikamuuliza inakuwaje dawasco wanauza maji wakati huku mtaani hatuna maji? Kijana akaniambia Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake. 'kwahyo haya maji syo mgao?' nilimuuliza, 'inawezekana lakini syo mara zote' alinijibu.

Dawasco ubungo acheni hiyo michezo, mnatuumiza sana wananchi wa hali ya chini, imagine Lita 3000 nanunua kwa sh. 50,000 kweli?
 
Kuna mdau alishawahi kusema Ubungo sio sehemu ya kuishi sababu ya uhaba wa maji

Kwa wajuzi wa mambo,kuna nini huko Ubungo hadi wanakutana na hii tabu?
 
Ni katika kuhangaika kupata maji leo asubuhi nikampanga kijana anaesambaza maji kwa kutumia gari akiniambia saa mbili asubuhi atakuwa ameshaleta hayo maji.

Saa mbili na nusu nampigia kujua kama anakuja au niendelee kutafuta njia nyingine ya kupata huduma hii muhimu, akaniambia anasubiri dawasco wafungue ili aweze kujaza maji kwenye tank lake.

Saa nne alikuwa ameshafika, nikamuuliza inakuwaje dawasco wanauza maji wakati huku mtaani hatuna maji? Kijana akaniambia Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake. 'kwahyo haya maji syo mgao?' nilimuuliza, 'inawezekana lakini syo mara zote' alinijibu.

Dawasco ubungo acheni hiyo michezo, mnatuumiza sana wananchi wa hali ya chini, imagine Lita 3000 nanunua kwa sh. 50,000 kweli?
Punguza supply demand iongezeke vendors wapige pesa. Kuna namna.
 
Kuna mdau alishawahi kusema Ubungo sio sehemu ya kuishi sababu ya uhaba wa maji

Kwa wajuzi wa mambo,kuna nini huko Ubungo hadi wanakutana na hii tabu?
Kuna wenye Tamaa Kama Mzee Makorere aliekezea maji kwake dili ilichezwa na Mainjinia, mameneja kujumuisha na watu wa supply.
Mainjinia nao wanamiliki visima na wanauza maji hayo ya wizi yaliyotakiwa kufikia watu wakayaelekezea kwao.

Yani Hadi ajaze visima ndio mje kuachiliwa na nyie muokoteze ya njiani.
 
Ni katika kuhangaika kupata maji leo asubuhi nikampanga kijana anaesambaza maji kwa kutumia gari akiniambia saa mbili asubuhi atakuwa ameshaleta hayo maji.

Saa mbili na nusu nampigia kujua kama anakuja au niendelee kutafuta njia nyingine ya kupata huduma hii muhimu, akaniambia anasubiri dawasco wafungue ili aweze kujaza maji kwenye tank lake.

Saa nne alikuwa ameshafika, nikamuuliza inakuwaje dawasco wanauza maji wakati huku mtaani hatuna maji? Kijana akaniambia Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake. 'kwahyo haya maji syo mgao?' nilimuuliza, 'inawezekana lakini syo mara zote' alinijibu.

Dawasco ubungo acheni hiyo michezo, mnatuumiza sana wananchi wa hali ya chini, imagine Lita 3000 nanunua kwa sh. 50,000 kweli?
Yale magarri ni ya watumishi wa Dawasco
 
Natamani sana kujua kwanini wanafanya hivi
Rushwa,wenye hivyo vicanter vya kuuza maji wanachangishana kuna fungu linaenda kwa mkurugenzi wa area husika anaamuru maji upande fulani yafungwe mafundi wanaagizwa wabuni tatizo lolote lenye kueleweka maelezo waseme ndiyo shida.

Limetutesa sana Mbezi Makabe hili tatizo hata sasa bado wanafanya michezo hii,ukitoka nyumbani maji hamna ukifika mtaani maji pressure imepasua mabomba yanamwagika barabarani huku hivyo vigari vikitimua vumbi kuuza maji.
 
Back
Top Bottom