Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Ndio hivyo mkuu, lazima yeye kanunua bei chee, kufa kufaanaAfu mwenye gari ukute kanunua kwa tsh.100 ndoo au tank la lita 3000 kwa elfu 15
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo mkuu, lazima yeye kanunua bei chee, kufa kufaanaAfu mwenye gari ukute kanunua kwa tsh.100 ndoo au tank la lita 3000 kwa elfu 15
Biashara za watu hizo, shida kwenu fursa kwaoNatamani sana kujua kwanini wanafanya hivi
Dawasco ubungo na kibamba wanashirikiana na wenye canters za kuuza maji,huwezi kusikia shida ya maji mara kwa mara kigamboni sababu hakuna vile vicanterNi katika kuhangaika kupata maji leo asubuhi nikampanga kijana anaesambaza maji kwa kutumia gari akiniambia saa mbili asubuhi atakuwa ameshaleta hayo maji.
Saa mbili na nusu nampigia kujua kama anakuja au niendelee kutafuta njia nyingine ya kupata huduma hii muhimu, akaniambia anasubiri dawasco wafungue ili aweze kujaza maji kwenye tank lake.
Saa nne alikuwa ameshafika, nikamuuliza inakuwaje dawasco wanauza maji wakati huku mtaani hatuna maji? Kijana akaniambia Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake. 'kwahyo haya maji syo mgao?' nilimuuliza, 'inawezekana lakini syo mara zote' alinijibu.
Dawasco ubungo acheni hiyo michezo, mnatuumiza sana wananchi wa hali ya chini, imagine Lita 3000 nanunua kwa sh. 50,000 kweli?
Hii nchi ni ya kishenzi sana plus tuna viongozi wasiojitambua ndiyo shida inazidi kuongezeka.Kuna wenye Tamaa Kama Mzee Makorere aliekezea maji kwake dili ilichezwa na Mainjinia, mameneja kujumuisha na watu wa supply.
Mainjinia nao wanamiliki visima na wanauza maji hayo ya wizi yaliyotakiwa kufikia watu wakayaelekezea kwao.
Yani Hadi ajaze visima ndio mje kuachiliwa na nyie muokoteze ya njiani.
Kwanini umeisahau na Kinyerezi mkuu?Dawasco ubungo na kibamba wanashirikiana na wenye canters za kuuza maji,huwezi kusikia shida ya maji mara kwa mara kigamboni sababu hakuna vile vicanter
Kuna watu wana Tamaa za kijinga Sana.Hii nchi ni ya kishenzi sana plus tuna viongozi wasiojitambua ndiyo shida inazidi kuongezeka.
Hatariii sana.Duuh noma aise,
Mkuu kama unaweza Mh. Aone haka kauzi tusaidieni. Ubungo ni shida sana maji Tena kipindi chote Cha mwaka mzima. Masika iliyopita maji yalikuwa ya mgao, kuuliza wakasema wanasafisha pipes za maji. Sijui sasahivi watatuambia Nini tukihoji🤔Maji yamekuwa kero kubwa sana, na waziri yupo anatoa zawadi za ng'ombe na nazi huku wananchi hawana huduma za maji
Hiki chama kimejichokea
Loh! 😓Kuna wenye Tamaa Kama Mzee Makorere aliekezea maji kwake dili ilichezwa na Mainjinia, mameneja kujumuisha na watu wa supply.
Mainjinia nao wanamiliki visima na wanauza maji hayo ya wizi yaliyotakiwa kufikia watu wakayaelekezea kwao.
Yani Hadi ajaze visima ndio mje kuachiliwa na nyie muokoteze ya njiani.
Huko makabe msakuzi sjui maji ni shida sanaRushwa,wenye hivyo vicanter vya kuuza maji wanachangishana kuna fungu linaenda kwa mkurugenzi wa area husika anaamuru maji upande fulani yafungwe mafundi wanaagizwa wabuni tatizo lolote lenye kueleweka maelezo waseme ndiyo shida.
Limetutesa sana Mbezi Makabe hili tatizo hata sasa bado wanafanya michezo hii,ukitoka nyumbani maji hamna ukifika mtaani maji pressure imepasua mabomba yanamwagika barabarani huku hivyo vigari vikitimua vumbi kuuza maji.
Na wajinga watashangiliaMuda wa bure bado, wana waandaa kwa uchaguzi.
Mkasirikeee mpige kelele,,halafu atajitokeza aseme "Nimeagiza mamlaka zote hakuna mgao wa maji wala umeme" mtapiga makofi na kukenua meno.
Kuanzia mwezi wa 9 mtapata maji hadi ya kumwagilia bustani zenu.
Uchaguzi ukiisha tu, mnarudi mlikotoka.
Vicanter sio vinaenda kwenye shida? Zishatokaga gari Dar kwenda mikoa ya kusini kufanys kazi kama hiiDawasco ubungo na kibamba wanashirikiana na wenye canters za kuuza maji,huwezi kusikia shida ya maji mara kwa mara kigamboni sababu hakuna vile vicanter
Naishi ubungo maji mbona yanatoka mpka mda huuKuna mdau alishawahi kusema Ubungo sio sehemu ya kuishi sababu ya uhaba wa maji
Kwa wajuzi wa mambo,kuna nini huko Ubungo hadi wanakutana na hii tabu?
Kwakua wewe ni mwenyeji wa ubungo je kuna shida ya maji maeneno karibu yako hata kama kwako yanatoka?Naishi ubungo maji mbona yanatoka mpka mda huu
Hii nchi ni ya kishenzi sana plus tuna viongozi wasiojitambua ndiyo shida inazidi kuongezeka.
Kwani wananchi wanajitambua? tuanzie hapoHii nchi ni ya kishenzi sana plus tuna viongozi wasiojitambua ndiyo shida inazidi kuongezeka.