DAWASA wanatoa wapi maji wanayowauzia wenye magari ili waje kutuuzia mtaani?

DAWASA wanatoa wapi maji wanayowauzia wenye magari ili waje kutuuzia mtaani?

Ni katika kuhangaika kupata maji leo asubuhi nikampanga kijana anaesambaza maji kwa kutumia gari akiniambia saa mbili asubuhi atakuwa ameshaleta hayo maji.

Saa mbili na nusu nampigia kujua kama anakuja au niendelee kutafuta njia nyingine ya kupata huduma hii muhimu, akaniambia anasubiri dawasco wafungue ili aweze kujaza maji kwenye tank lake.

Saa nne alikuwa ameshafika, nikamuuliza inakuwaje dawasco wanauza maji wakati huku mtaani hatuna maji? Kijana akaniambia Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake. 'kwahyo haya maji syo mgao?' nilimuuliza, 'inawezekana lakini syo mara zote' alinijibu.

Dawasco ubungo acheni hiyo michezo, mnatuumiza sana wananchi wa hali ya chini, imagine Lita 3000 nanunua kwa sh. 50,000 kweli?
Wabongo bana kwa kupenda na kuendekeza anasa za maji.

Kammon roll up your sleeves maamaee.

Nyau de adriz
 
NASIKITIKA SANA UKOSEFU NA UJUAJI WA WACHANGIAJI KATIKA HII THREAD.

Maji yale mnayoyaaona ya dawasa tunaita. Huwa wanaweka kwenye reservoirs, yaani matank.. mfano kwa barabara ya morogoro road kuna kibamba hospitali. Na temboni pale karibu na Victoria hall miaka yote.
Yale ni mavisima yana receive maji au kujazwa maji for emergencies na zamani kidogo yalikuwepo kwaajili ya kuuzia maji wale watu ambao hawakufkiwa na maji. So hujazwa kipindi maji yanatoka for emergency. Lakini wapo watu na viwanda havina supply ya maji haswa sehemu za ujenzi huchukua maji humo.
Na maji yanapokatika basi visima hivi huwa havikosi maji.
 
Back
Top Bottom