Hewa kwenye bomba nayo inafanya mita ikimbie kuliko kawaidaHamna cha leakage wala nini, nyumbani kwetu tulitafuta hiyo leakage hadi basi
Halafu leakage hata kama ingekuwa kubwa kiasi hicho,
Mfano kuna kipindi tumepima maji kabisa tuliyotmia kwa mwezi kwenye simtank
Tulitumia simtank 4 za ujazo wa lita 2000 ambazo ni lita 8000 sawa na unit 8, ila matumizi bili ikaja unit 37, na mita zinasoma tumetumia unit hizo kweli
Sasa unit 8 hadi 37, leakage kubwa kiasi hicho ingeonekana tu
Wewe hautofautiani nammInawezekana meter ni mbobu kweli.
Ila kwa upande wangu iko hivi.....
Huwa naweka kumbukumbu za matumizi ya kila mwezi (unit).
Kwa mfano ..matumizi ya maji September ni unit 59.
Yaani last time meter ilisoma 1813, na hadi juzi walikuja kusoma meter na kukuta 1872.
Hapo unachukua Current reading - previous reading ( 1872-1813) = 59 Unit.
Huwa nathibitisha kama alichosoma mosoma mita ni sahihi.
Then najiandaa kulipa bill, na hapo nakaa nikijua pesa nitakayolipa.
Unit moja ni 1,680/=
Data zangu na data za Dawasa hazijawahi kukinzana.
Utakuja kukosa maji siku moja .....mtandao wa nchi hii ni wa grade III unakata muda wowote....waulize madereva wa serikali kuna muda wanalala kwenye ma-pump ya GIPSA.Watufungie za kununua token
Hivyo hivyo kikubwa bill iendane na matumiziUtakuja kukosa maji siku moja .....mtandao wa nchi hii ni wa grade III unakata muda wowote....waulize madereva wa serikali kuna muda wanalala kwenye ma-pump ya GIPSA.
AUWSA wa Arusha ndiyo majambazi kabisa. Bill za maji ni kubwa kuliko uhalisia. Wanabambika tu bill hawa waungwanaNimefanya tathimini nikagundua hizi mita za maji hapa Dar ni majanga sana. Yaani hata ukiwa umesafiri bili inakuja ileile na mita inatembea.
Kuna kitu hakipo sawa kwenye mita za maji jamaa wanatupiga. Wanatuumiza sana jamani was galleries tena ufanisi wa mita zao.
Dhuluma sana hawa. Tutamwambia Mh. Aweso.
Hamna cha leakage wala nini, nyumbani kwetu tulitafuta hiyo leakage hadi basi
Halafu leakage hata kama ingekuwa kubwa kiasi hicho,
Mfano kuna kipindi tumepima maji kabisa tuliyotmia kwa mwezi kwenye simtank
Tulitumia simtank 4 za ujazo wa lita 2000 ambazo ni lita 8000 sawa na unit 8, ila matumizi bili ikaja unit 37, na mita zinasoma tumetumia unit hizo kweli
Sasa unit 8 hadi 37, leakage kubwa kiasi hicho ingeonekana tu
Inawezekana meter ni mbobu kweli.
Ila kwa upande wangu iko hivi.....
Huwa naweka kumbukumbu za matumizi ya kila mwezi (unit).
Kwa mfano ..matumizi ya maji September ni unit 59.
Yaani last time meter ilisoma 1813, na hadi juzi walikuja kusoma meter na kukuta 1872.
Hapo unachukua Current reading - previous reading ( 1872-1813) = 59 Unit.
Huwa nathibitisha kama alichosoma mosoma mita ni sahihi.
Then najiandaa kulipa bill, na hapo nakaa nikijua pesa nitakayolipa.
Unit moja ni 1,680/=
Data zangu na data za Dawasa hazijawahi kukinzana.
Wanahujumu Kwa makusudi ili wawapige Muende kuongeza mafuta kwenye vituo vya mafuta binafsi.Utakuja kukosa maji siku moja .....mtandao wa nchi hii ni wa grade III unakata muda wowote....waulize madereva wa serikali kuna muda wanalala kwenye ma-pump ya GIPSA.
Kwahiyo MTU unabomba bafuni kwako tena chumbani uende kuchota maji Kwa jirani ya kuoga!unajua mpka now sijaelewa lawama zenu zinaenda wapi hivi unashindwa kusoma mita yako na ukaend atoa malalamiko ukiona hawatekelezi si bora uchangie mita ya jirani ujue ukitumia unit kadhaa unamlipa n yy atalipa idarani kuliko kukaa kulaumu wakati njia zipo nyingi na ukitaka usisumbuke chimba maji yako mbona huduma ya uchimbaji skuhzi ni nafuu sana