BabuFey
JF-Expert Member
- Feb 13, 2023
- 1,659
- 2,913
Muda so baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam ukifungua maji ya DAWASCO asubuhi unakutana na tope zito.
Maji haya machafu hayafai kwa lolote, hivyo mtu unamwaga mpaka lita mia moja unayolipia ndio upate masafi.
Kusafisha na kutibu maji kwa kutumia Aluminium sulphate na chlorine siku hizi za kipindupindu sio sayansi ya roketi.
Mnasumbua na message zenu za vitisho vya lipa bili mara tuu mnapo tutumia huku huduma ya hovyo.
Waziri Aweso baada ya kusema "Nani Kama rais Samia" shughulikiwa kero hii.
Maji haya machafu hayafai kwa lolote, hivyo mtu unamwaga mpaka lita mia moja unayolipia ndio upate masafi.
Kusafisha na kutibu maji kwa kutumia Aluminium sulphate na chlorine siku hizi za kipindupindu sio sayansi ya roketi.
Mnasumbua na message zenu za vitisho vya lipa bili mara tuu mnapo tutumia huku huduma ya hovyo.
Waziri Aweso baada ya kusema "Nani Kama rais Samia" shughulikiwa kero hii.